Tuliosoma Somo la Uraia, nani anakumbuka ‘definition’ ya Demokrasia?

BigTall

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
422
1,049
Leo ni Siku ya Demokrasia Duniani, wakati nasomasoma mitandaoni pia nimeona uzi flani huku JF ukiwa na maelezo meengi kuhusu Demokrasia.

Bila kujali kama Nchi yetu tuna maana halisi ya matumizi ya neno hilo, tujikumbushe masomo ya Uraia na Civics, nani anakumbuka definition ya neno Democracy ile kishuleshule?
 
Leo ni Siku ya Demokrasia Duniani, wakati nasomasoma mitandaoni pia nimeona uzi flani huku JF ukiwa na maelezo meengi kuhusu Demokrasia.

Bila kujali kama Nchi yetu tuna maana halisi ya matumizi ya neno hilo, tujikumbushe masomo ya Uraia na Civics, nani anakumbuka definition ya neno Democracy ile kishuleshule?
Ni serikali ya watu iliyo undwa na watu kwa manufaa ya watu.
 
Is a system of government and leadership ship to supreme power belongs to the people
 
Leo ni Siku ya Demokrasia Duniani, wakati nasomasoma mitandaoni pia nimeona uzi flani huku JF ukiwa na maelezo meengi kuhusu Demokrasia.

Bila kujali kama Nchi yetu tuna maana halisi ya matumizi ya neno hilo, tujikumbushe masomo ya Uraia na Civics, nani anakumbuka definition ya neno Democracy ile kishuleshule?
Kuna people people nyingi ambazo sasa hivi zimepotea zote kwenye definition😕😕
 
Simple defn.

Democracy is there when people meet to discuss their all life aspects and finally enter into mutual agreement.
 
Democracy means the power is belong to the peoples

Or
Is the system whereby peoples are allowed to participate in choosing their learders
 
Ni mfumo wa kugawa nguvu zako kuwa za wachache na kujisalimisha Kisha kukubali kupangiwa na kuwekwa mipaka juu ya vitu vyote hata viwe vya kwako.
Wizi was mamlaka.
 
Mi niliipenda ile ya

Rule of law, means all people are equal under the law, all people must obey the law the governor's and governed
 
Democracy was simply defined by Abraham Lincoln.

Soma philosophers wa ancient Greek (Aristotle, Socrates, Plato) kuna kazi zao kama Apology n.k utajua complications za democracy.


Tafuta hawa; Solon, Cleisthenes na Ephialtes pia ujue mchango wao kwenye democracy.
 
Democracy is an English word derived from the Greek word demokratia whereby:
  • demos = people
  • kratia = rule

Therefore demokratia = people's rule or the rule of the people or the rule by the people.
 
Back
Top Bottom