Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Mie ndo nilikuwa lazima nifike serena kila siku.bila kusahau kuwashugulikia mbio za vijiti na headmaster wetu Dobeye a general can not make a mistake if you think general can make a mistake refer to rule number one
 
Daaaah! mmenikumbusha musoma tech! nilikuwepo kipindi cha mgomo uliomtoa preamble kwa kututetea na kusema ukweli halafu wakatuletea Muha mmoja hivi msanii balaaa! sisahau mutex upande wa pili wa uwanja tulikua tunakaa kuangalia madem wanaopita!
Alikuwa anaitwa Albet Dobeye.. Jamaa alitutesa Sana sisi form four wa 2010 hapo kituo cha kijeshi Musoma TECH
 
Nakumbuka enzi ya Musoma Tech. Ikiitwa Alliance Secondary School ilikuwa na timu ya mpira bora mkoa wa Mara. Ilikuwa mwaka 1969.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom