Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Daaaah! mmenikumbusha musoma tech! nilikuwepo kipindi cha mgomo uliomtoa preamble kwa kututetea na kusema ukweli halafu wakatuletea Muha mmoja hivi msanii balaaa! sisahau mutex upande wa pili wa uwanja tulikua tunakaa kuangalia madem wanaopita!
Daaah mkuu kumbe nawe ulikuwepo siku iyo. Hakika ilikuwa siku ya majinzo sana. Nadhani ndo mkuu wa kwanza duniani kutetea wanafunzi
 
Kuna mambo mengne hutakiwi kuyasema humu. Mengne ni aibu. Tumewahi kutia aibu pale ambayo swez kuihadithia. Aisee Musoma Tec kumenifunza mengi na kuniongezea confidence kubwa sana.
Hahhaaaa baba tupeeee!! Humu tupo wenyewe tu. Haoni mtu
 
Salute,

Combination gani kweli,preamble alikuwa na huruma sana yule mzee,alikuwa akisema ukiniona wa usihangaike kukimbia kwa sababu ninauwezo mkubwa wa kutambua kisogo kuliko uso wa mtu.
Mie nilikuwa UKANDA WA GAZZA, Pale Mkwawa. Hakika angekuwa mkuu mwingine nadhani wengine tusingekuwa hapa tulipo
 
Mie nilikuwa UKANDA WA GAZZA, Pale Mkwawa. Hakika angekuwa mkuu mwingine nadhani wengine tusingekuwa hapa tulipo
Hapo sawa,

Mi nilikuwa upande wa pili uliojulikana kwa jina maarufu la "Dunia" nakumbuka kipindi cha kulima bustani ya mbogamboga za shule tulisimama mpaka Mwl wa darasa akatukataa eti darasa limejaa wakaidi na bustani ikaishia hapo.
 
Hapo sawa,

Mi nilikuwa upande wa pili uliojulikana kwa jina maarufu la "Dunia" nakumbuka kipindi cha kulima bustani ya mbogamboga za shule tulisimama mpaka Mwl wa darasa akatukataa eti darasa limejaa wakaidi na bustani ikaishia hapo.
Hahahahaaa ule mradi mnalima afu mnakula maharage sijui akili gn zile!
 
Na kule kcc ziwani, sh50 kande la kushiba na chai kikombe cha plastic.... Ila nahis mambo mengi sana yamebadilika sana pale maana hata migomo hatuskii...enzi zile akina "wegesa" (sasa hivi ndie mh. Heche, mbunge) haipiti week bila jiwe kumpata mtu, japo mguuni.
Heche alikuwa mtabe sana nakumbuka bifu kati ya musoma tech na songe hadi kupelekea boys wa songe kuamishiwa tarime high school na Mara sec
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom