bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,707
Mumeikuta ukanda wa gaza..!Daaaa mbali sana ila Mbna odm ilikua ya mwaka 2009 .shule nzima lazma wakanywe maji kwa suzy hahaa
Mumeikuta ukanda wa gaza..!Daaaa mbali sana ila Mbna odm ilikua ya mwaka 2009 .shule nzima lazma wakanywe maji kwa suzy hahaa
Tulikuwa na genge letu tunaiba vitu vyenu tunaenda kuuza sasa hivi maisha sio mabaya kidogo mmetupa mtaji, Hata Songe walikuwa wanalizwa kila siku.Nafikiri ndio wewe tuliwahi kukudaba mkwawa tutakusurubu hadi Mutex ulikuwa umeificha kichakani
Aisei asikwambie mtu, enzi za dr. Magige.Mie nilikuwa UKANDA WA GAZZA, Pale Mkwawa. Hakika angekuwa mkuu mwingine nadhani wengine tusingekuwa hapa tulipo
Preambe alikuwa my best teacher ever!Bonge la mkuu wa shule. Mr. Mwita, Preamble
Duh,Nimekumbuka nilivyokuwa nawaibia simu zenu
Sasa aliyeiba anaitwa Faraja alikuwa ana mwenzake hapo anaiba bwenini analeta kwa mkali wao Faraja hayo mashuka yako tuliuza 4000Duh,
Umenikumbusha 2006 ndo tumeripoti form five wiki kama ya pili asubuhi moja baada ya kutoka darasani tulikuta mashuka yote na ndoo za maji zimeibiwa halafu maji yamemwagwa bwenini.
Mashuka yangu yote yalikuwa matatu yaliibiwa siku hiyo.
Aiseee,Sasa aliyeiba anaitwa Faraja alikuwa ana mwenzake hapo anaiba bwenini analeta kwa mkali wao Faraja hayo mashuka yako tuliuza 4000
Pole ndo hivyo mambo ya Faraja kashaoa na kaacha wizi sasa hivi.Aiseee,
Zile shuka ziliniuma na ziliharibu bajeti yangu vibaya mno.
Sisi ndo tulikuwa wana Gaza wenyewe. Kuna watu walijiita KAPU LA NYEGE, KAMDUNDO N.KMumeikuta ukanda wa gaza..!
Ile ya pulyambo nadhnKipind icho wali maharage ilikuwa 350/- pale kantin kwel maisha yanasonga!
Ctosahau cku tulipoandamana, kupigwa mabomu na shule kufungwa tukaambiwa tuwe tumeondoka kufikia saa 6 mchana.!
Mwaka gn mkuu...? Sisi tmesoma pale wizi ulikuwa ni tshirt za shule tu.Tulikuwa na genge letu tunaiba vitu vyenu tunaenda kuuza sasa hivi maisha sio mabaya kidogo mmetupa mtaji, Hata Songe walikuwa wanalizwa kila siku.
Hivi ukiwa serikalini s utafilisi nchi jamaa?Sasa aliyeiba anaitwa Faraja alikuwa ana mwenzake hapo anaiba bwenini analeta kwa mkali wao Faraja hayo mashuka yako tuliuza 4000
Hahaaaa! 2006. Kumbe wewe ni classmate! Nmukumbuka kauli ya Mnyeti 'form five mmeanza kusoma bila syllabus' Acha tuchekwe parade daaah!Duh,
Umenikumbusha 2006 ndo tumeripoti form five wiki kama ya pili asubuhi moja baada ya kutoka darasani tulikuta mashuka yote na ndoo za maji zimeibiwa halafu maji yamemwagwa bwenini.
Mashuka yangu yote yalikuwa matatu yaliibiwa siku hiyo.
Lakini nasi tulianza kwa mwendokasi mno, mtu unaripoti siku hiyo hiyo unaenda kukesha darasani .......Hahaaaa! 2006. Kumbe wewe ni classmate! Nmukumbuka kauli ya Mnyeti 'form five mmeanza kusoma bila syllabus' Acha tuchekwe parade daaah!
Musoma tech mbona mlikua wachumba tu, kitu Tarime high dah maisha ya pale zaidi ya jeshi hiyo advance 2006Don't tell me, Musoma tech..! Chuo cha jeshi, si kwa life lile aisei, mzee matogoro, sabato miss u big..! aisei.MIKOMANGWA miss you my displine masters..!huyo ziwana kwa mama wawili binti yangu mloko atakuwa kavunja ungo sasa maana muda sana.
Hahahaaaa we jamaa noma sana... naikimbuka sna iyo siku pale Mubigi. Preamble alisimama akakusanya mikono akawa anaomba tumsikilize. Tukamusikiliza.Lakini nasi tulianza kwa mwendokasi mno, mtu unaripoti siku hiyo hiyo unaenda kukesha darasani .......
Matokeo yake watu wanachukua kila notisi wanazokutana nazo.
Unakumbuka siku ya school baraza baada ya Mnyeti kumpiga kichwa mwanafunzi wa form five wakati tukiwa fm six,wanafunzi waligoma kuimba wimbo wa Taifa na wa shule badala yake wimbo ukawa "Tunamtaka Mnyeti,tunamtaka Mnyeti" Preamble akauliza mnamtaka wa nini...! Wanafunzi wote wakasema"tumuue"
Siku ilikuwa ngumu sana kwa Preamble na madam mke wa Mnyeti .
Utakuwa umekeketwa wewe! Unaringanisha Musoma na Tarime!Musoma tech mbona mlikua wachumba tu, kitu Tarime high dah maisha ya pale zaidi ya jeshi hiyo advance 2006
Duuuh ndo bado tupo sec za wilayani sisi. Sijui nn kilimsibu..Enzi hizi madame mmoja akiitwa Muga alikuwa zamu. Sasa ile alfajiri muda wa mgogoro akaibukia bweni la mkwawa kuwaamsha watu wafanye usafi. Alichokipata siku hiyo duh...... Nitaendelea!
Tukio moja la kusitisha ni kijana mmoja wa kidato cha tatu kujinyonga hiyo ilikuwa 2002.