Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Alikuwa anaitwa Albet Dobeye.. Jamaa alitutesa Sana sisi form four wa 2010 hapo kituo cha kijeshi Musoma TECH
Wakati anaripoti huyu 2008 sikuwahi kwenda assembly,

Nilikuja kumuona siku narudi kupitisha fomu ya mkopo akawa anasema nyie si ndo mlikuwa mnamlilia preamble mkafikiri hamtarudi na sasa mnarudi mmoja mmoja na umoja wenu haupo tena....!
 
Nakumbuka enzi ya Musoma Tech. Ikiitwa Alliance Secondary School ilikuwa na timu ya mpira bora mkoa wa Mara. Ilikuwa mwaka 1969.
Hadi leo, ndio shule yenye timu bora.
Inatembeza dozi balaaa
 
Umemalza mwaka gani mkuu hapo kituo cha jeshi
2010 mkuu
Wakati ndo tunapiga paper siku ya mwisho na ni siku hiyo hiyo kulikuwepo na mgomo jion baada ya wapishi kutupatia kabichi bichi
 
Musoma Technical, tuliita University of Mara. Asubuhi nilipenda kupumzika mto wa mbu nikisubiri watu watoke Assembly. Palinifundisha kuwa ngangari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom