Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

Na kule kcc ziwani, sh50 kande la kushiba na chai kikombe cha plastic.... Ila nahis mambo mengi sana yamebadilika sana pale maana hata migomo hatuskii...enzi zile akina "wegesa" (sasa hivi ndie mh. Heche, mbunge) haipiti week bila jiwe kumpata mtu, japo mguuni.
 
Na kule kcc ziwani, sh50 kande la kushiba na chai kikombe cha plastic.... Ila nahis mambo mengi sana yamebadilika sana pale maana hata migomo hatuskii...enzi zile akina "wegesa" (sasa hivi ndie mh. Heche, mbunge) haipiti week bila jiwe kumpata mtu, japo mguuni.
Duuuuh mgomo wa mwisho nadhani ulikuwa 2010
 
Na kule kcc ziwani, sh50 kande la kushiba na chai kikombe cha plastic.... Ila nahis mambo mengi sana yamebadilika sana pale maana hata migomo hatuskii...enzi zile akina "wegesa" (sasa hivi ndie mh. Heche, mbunge) haipiti week bila jiwe kumpata mtu, japo mguuni.
Things has fallen Apart, walibaki wachumba..!
 
Dah akhasantenii kwakunikumbusha shule angu. Bweni langu amri abedi. Mama helena mzee matogolo. Nilkuwanaenda kunywa maji kwa akina Suzy. Tulifanya mgomo 2010 Dah kundi letu liliitwa ODM. Likiongozwa na wana HGL
 
Daaaah! mmenikumbusha musoma tech! nilikuwepo kipindi cha mgomo uliomtoa preamble kwa kututetea na kusema ukweli halafu wakatuletea Muha mmoja hivi msanii balaaa! sisahau mutex upande wa pili wa uwanja tulikua tunakaa kuangalia madem wanaopita!
 
Mwal kaganda simkumbuki lkn nilimaliza 2008. Si unajua pale mwanafunzi na mwl hawana interaction... pale kina Mnyeti ndo walikuwa watabe.
Salute,

Combination gani kweli,preamble alikuwa na huruma sana yule mzee,alikuwa akisema ukiniona wa usihangaike kukimbia kwa sababu ninauwezo mkubwa wa kutambua kisogo kuliko uso wa mtu.
 
Dah akhasantenii kwakunikumbusha shule angu. Bweni langu amri abedi. Mama helena mzee matogolo. Nilkuwanaenda kunywa maji kwa akina Suzy. Tulifanya mgomo 2010 Dah kundi letu liliitwa ODM. Likiongozwa na wana HGL
Daaaa mbali sana ila Mbna odm ilikua ya mwaka 2009 .shule nzima lazma wakanywe maji kwa suzy hahaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom