IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,027
Miaka ya 2004 Niko kidato cha2 tulikuwa na kawaida ya kwenda beach kuogelea kila wiki.
Sasa wiki1 nakumbuka nilikuwa na wanangu4 wazoefu sana mda ule Mimi nilikua muoga sana wa maji.
Kumbe tulivyoingia kuogelea maji yalikuwa yanajaa,nimekuja kugundua too late,mbaya zaidi wale wataalamu wa kuogelea walikuwa mbali na Mimi,hata ningeita wasingesikia kamwe.
Jamani jamani kifo cha maji hatari sana yaliyonikuta Mungu anajua,sijui hata nilijiokoaje nadhani mda ulikuwa bado sina hamu tena na maji.
Ushauri: km hujui kuogelea jiweke mbali na maji.
Sasa wiki1 nakumbuka nilikuwa na wanangu4 wazoefu sana mda ule Mimi nilikua muoga sana wa maji.
Kumbe tulivyoingia kuogelea maji yalikuwa yanajaa,nimekuja kugundua too late,mbaya zaidi wale wataalamu wa kuogelea walikuwa mbali na Mimi,hata ningeita wasingesikia kamwe.
Jamani jamani kifo cha maji hatari sana yaliyonikuta Mungu anajua,sijui hata nilijiokoaje nadhani mda ulikuwa bado sina hamu tena na maji.
Ushauri: km hujui kuogelea jiweke mbali na maji.

