Tuliokosa ajira UHAMIAJI 2025 tukutane.

Tuliokosa ajira UHAMIAJI 2025 tukutane.

DexterLab

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2024
Posts
286
Reaction score
299
Salamu, ndugu jobless wenzangu, hivi sisi tusiokuwa na koneksheni tufanye Nini tutoboe? Maana Kila post ya ajira za vyombo vya dola tunalishwa maneno kwamba "Bila mbanga huko juu hutoboi, nenda kaokote maembe TU bablai"


So, tunatokaje hapo? Nawasilisha. Uzi tayari.
 
Salamu, ndugu jobless wenzangu, hivi sisi tusiokuwa na koneksheni tufanye Nini tutoboe? Maana Kila post ya ajira za vyombo vya dola tunalishwa maneno kwamba "Bila mbanga huko juu hutoboi, nenda kaokote maembe TU bablai"


So, tunatokaje hapo? Nawasilisha. Uzi tayari. Na njaa inauma balaa fanyeni hata chochote kitu 0712728325
Futa mara moja

mnataka Kufanya mapinduzi
 
Back
Top Bottom