mwalimu mdumi
Member
- Oct 6, 2015
- 20
- 1
jaman kuna group la whatsaap la UDOM first year na wale wanaoendelea tunabadiloshana mawazo..ukihitaj tupia namba yako nitaku add..faster
Nicheki 0652501314 kwa mawasiliano zaidi..but hapo kulipia hizo ada ni bank popote zilizopo unaweza kulipia ila tu usikosee account wala kuzichanganya na kuwe na information za kujitosheleza kwenye hiyo BPS
Nataka kuelewa hivi helbs wanalipa nn coz naona admission letter inasema direct cost na tuition fee ilipwe kabra ya kuripoti chuo selewiiiii
0656864811
Kokote tu,, ila chuo it's more simpleSor kaka,nauliza iv et kufungua akaunt ya benk ni lazima ukfungulie udom au hata ukiwa nyumbani?asant
Tukutane education kwa walimu wenzangu BED PSYCHOLOGY