Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Nimechaguliwa ordinary diploma kupitia nacte but admission letter sijapata, ntaipataje mkuu maana tarehe ya kuripoti chuo ndo hiyo isha fika.

admission letter unaipata kwenye website ya chuo www.udom.ac.tz.then fungua link ya kwanza kabsa (UDOM WEB)
..kwenye news and events kipengele cha 6 ni admission leter click hapo then fuata maelekezo yaliyopo utapata barua yako...if not kuna namba za simu hapo hapo utawapigia utapata msaada.
 
admission letter unaipata kwenye website ya chuo www.udom.ac.tz.then fungua link ya kwanza kabsa (UDOM WEB)
..kwenye news and events kipengele cha 6 ni admission leter click hapo then fuata maelekezo yaliyopo utapata barua yako...if not kuna namba za simu hapo hapo utawapigia utapata msaada.

Yaani letter zinazopatikana hapo ni kwa wale walochagulia direct kutoka tamisemi but maelekezo yoote nimefuata na hazisomi pia zile namba always hazipatikani.
 
Yaani letter zinazopatikana hapo ni kwa wale walochagulia direct kutoka tamisemi but maelekezo yoote nimefuata na hazisomi pia zile namba always hazipatikani.

ver xory..unaweza ukaja kufatilia personal utawala mkuu..kama jina limetoka ni lazima letter uipate pale
 
Kusogezwa mbele muda wa kuripoti chuo
 

Attachments

  • 1446117713839.jpg
    1446117713839.jpg
    46.6 KB · Views: 80
Ratiba ya kufungua chuo imebadilishwa so mpaka tarehe 21/11 kwa continuing na first year tareh 14/11 sup tarehe 16-20/Nov ...tembelea udom web kwa information zaid
T.N da Great
 
Back
Top Bottom