Jaman Hv Hyo Tution Fee Kwa Sisi Wa Special Diploma Tunalipiwa Na Selikali Au Mwanafunzi Mwenyewe
wadau mko wap?ambaye ameconfirm kutoka unversity adminstrator atuthbtshie hl swala,please
Hapo inatakiwa ulipe direct cost yote, na kama bodi washatoa majina angalia alocation ya mkopo wako ni sh ngapi ili ujue wewe unalipa sh ngapi. Afu hicho kiasi unachokilipa wewe kigawe nusu ndo ulipie kwa semister I as ada. Kama majina bado subiri.
Okay mkuu
Umechaguliwa kozi gani
Under special diploma
Kwa wale wa college of natural and mathematical sciences tukutane hapa plz tuendelee kufahamiana 0713342493
udom batch 2 vipiiii
?????