mwalimu mdumi
Member
- Oct 6, 2015
- 20
- 1
Geoinformatics
oya kaka nitumie na Mimi admission
samahan (abuumdumi02@gmail.com)
Geoinformatics
oya kaka nitumie na Mimi admission
samahan (abuumdumi02@gmail.com)
Hostel zipo kibao za kutosha,, room moja watu 4 kila mmoja na kitanda chake, hamna kubebanaNa vip kuhsu hostellll
Kila mtu na Admission yake namaansha inakuwa na jina, ata nikikurushia yangu itakua haina kazi.
Hii ni kwa wale wakak na wadada walio chaguliwa UDOM na continuing students , TUPIA hapa namba ako ya whatsaap uunganishwe direct kwa group ili ku share ideas
Habari zenu people,mimi ni selected student wa university of Dodoma katika course ya Health Informaton system,nilikua nahitaji kufahamu hiyo faculty yahusu mambo gani kiundani zaidi na application.
lipo mkuu,, weka namba ako tu wata ku addManazinguaa hamna grup wala nn
Mm ndo nasubiri hivyo waseme wadau...
madogo iyo koz ni ya it ila mtasoma na mambo general ya afya kdgo yamemixiwa umo ndan,apps yake ni mahospitalini sana sana,ila vit mtavyosoma umo ni it tu ile ile..