Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

Tuliochaguliwa UDOM tukutane hapa

karibun sana mm naingia mwaka wa pili special diploma (SDE) tution fee mnalipiwa na serikal ila direct cost juu yenu. ila cjajua utaratibu kwa ambao hawajaomba mkopo?
 
wa special diploma tution fee haulipi ila direct cost unalipa, angalien wasije kuwafanyia kama walivyo tufanyia sisi mwaka jana..
 
kwa wale wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu dodoma...karibuni sana.. incase kama una face any difficult u may ask!!
 
kaka mm naomba kuulza hv kama hujalipa ada na direct cost unaweza pokelewa chuon? ukxhubr bom ltoke ndo ulpe hzo ada
 
kaka mm naomba kuulza hv kama hujalipa ada na direct cost unaweza pokelewa chuon? ukxhubr bom ltoke ndo ulpe hzo ada

jinsi ilivyo huwezi kusajiliwa kama hujalipa ada na direct cost..ushauri wangu subiri bodi watoe mkopo ndo ulipe vinginevyo unaweza ukalipa ada mkopo unatoka umepata kwa mfano 100% na we umeshalipa ada tayari ile pesa haitarudishwa
 
kwa mfano umefka chuon haujalpa vyote hvyo yaan ada na direct cost je unawez kupata room, kujua class lako, na pia unawez kusain bum na pia hujawai ona kund la watu kama ilo ambao awajalpa ada na wanaingia class? pia xwal lingine vp ukchelewa kulpa ada mana wametoa sku ya mwxho ya kulpia ada, na pia vp ukchelewa kuripoti chuon kuna nn ktakukuta?
 
kwa mfano umefka chuon haujalpa vyote hvyo yaan ada na direct cost je unawez kupata room, kujua class lako, na pia unawez kusain bum na pia hujawai ona kund la watu kama ilo ambao awajalpa ada na wanaingia class? pia xwal lingine vp ukchelewa kulpa ada mana wametoa sku ya mwxho ya kulpia ada, na pia vp ukchelewa kuripoti chuon kuna nn ktakukuta?

ipo hv..utaratibu uliopo pale anayepatiwa room ni yule aliyesajiriwa tu..bt kwa case yako unamtafuta mtu ambaye ameshasajiriwa unamuomba mnakaa naye
kuhusu kusain utaratibu ni mpaka uwe umesajiriwa ndo unaruhusiwa
pia ile deadline isikutishe na hakuna tatzo lolte utalolipata labd kama vipindi vikianza mapema ndo unaweza ukamiss
 
utaratibu wa kusajiliwa vp je ukifika jioni unaweza kusajiliwa siku hiyo kama haiwezekani wanatoa utaratibu gani?
 
ipo hv..utaratibu uliopo pale anayepatiwa room ni yule aliyesajiriwa tu..bt kwa case yako unamtafuta mtu ambaye ameshasajiriwa unamuomba mnakaa naye
kuhusu kusain utaratibu ni mpaka uwe umesajiriwa ndo unaruhusiwa
pia ile deadline isikutishe na hakuna tatzo lolte utalolipata labd kama vipindi vikianza mapema ndo unaweza ukamiss
poa kaka mungu akjalia tutakutana hapo
 
Nahitaji kuongea na mtu private kwa ambaye anasoma chuo cha udom atupie # ake umu ndan.?
 
Back
Top Bottom