Tulio single tujuane

Tulio single tujuane

Kila mtu ana soko banah sema kupata ambaye chemistry yenu iko on fire ndo shida
Umeona eeeh kwa kweli kuna kazi sishangai wanao tembea na waume za watu uwa wanakosa pa kushika wanaume awaleweki kbsa mtu anaona bora ajichomeke tu hapo kwa mume watu siku ziende
 
Umeona eeeh kwa kweli kuna kazi sishangai wanao tembea na waume za watu uwa wanakosa pa kushika wanaume awaleweki kbsa mtu anaona bora ajichomeke tu hapo kwa mume watu siku ziende
Hapo kwenye kukosa pakushika ni uzembe....dawa ni kutafuta mnyonge wako anayekuelewa,hayo mambo ya wanaume za watu kwa control freak km mm siwez
 
Hivi inakuwaje hadi mtu unakuwa single
Sijawahi elewa hii.
Nashangaa kabisa labda uoga, sasa kama sie wanaume totoz kibao kila kona ukikosa kazini basi mtaani au nenda cinemax au kwenye malls au vyuoni ijumaa unatega ukikosa kabisa kabisa vituo vya mwendo kasi vile vikubwa yaani weekend tatu hazifiki ushang'oa.
Wanawake wamejaa tele.

Note:
Wengi wao singles ni bahili especially sisi wa kiume.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom