kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,760
- 20,633
Maisha ya single mazuri Sana
1.unakuwa free kwenda sehm yeyote mda utakao na unarud mda utakao bila bugudha!
2,, simu za uko wapi ? Unafanya Nini ? Kwako hazipo
3,, mizinga kwako haipo, wazee wa hit and run wananielewa
4,,, n.k ! ..
Note !!! Kuwa na mpz ANAEJIELEWA unaenjoy Sana !!
1.unakuwa free kwenda sehm yeyote mda utakao na unarud mda utakao bila bugudha!
2,, simu za uko wapi ? Unafanya Nini ? Kwako hazipo
3,, mizinga kwako haipo, wazee wa hit and run wananielewa
4,,, n.k ! ..
Note !!! Kuwa na mpz ANAEJIELEWA unaenjoy Sana !!