qeen jojo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,246
- 3,729
Si nyie ndo mnasema dunian wanaume ni wachache wanawake ni wengi sasa achen tu tubananeTatizo ni kuomba omba hela tu! Matokeo yake unajiegamiza kwa waume za watu![]()
Si nyie ndo mnasema dunian wanaume ni wachache wanawake ni wengi sasa achen tu tubananeTatizo ni kuomba omba hela tu! Matokeo yake unajiegamiza kwa waume za watu![]()
@DarmianNipo single tokea September last year..and to be honest,it's pretty sweet,I'm loving it.
Niambie mrembo,unataka unihurumie nini na mimi niwe mtu kati ya watu?@Darmian
sometimes tunaenjoy na usingle ila dah! usingle unaboa sana

Niko single kwasababu sina hela ya kuhonga 🥺🥺🥺😁Habarin zenu..? leo tujuane tulio single na kwa nin tuko single
mwenzenu niko single kwa sababu bado sijampta aliye ubavu wangu naangaika na mibavu ya watu mwshowe naumizwa tuView attachment 1561737
Kufurahia Maisha tuu bila mfadhaiko wakukosa pair!





khaaaah kumbe? LolTafuta helaNiko single kwasababu sina hela ya kuhonga
#YNWA
Hahaha hyo madeko ni a.k.a au ?Asante Jojo Madeko..!!
#YNWA

Karibu tuijaribu hii stylekhaaaah kumbe? Lol
Watu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaaNipo single tokea September last year..and to be honest,it's pretty sweet,I'm loving it.
Watu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaa






Hahahaha kwan kuwa single maaan yake nnWatu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaa
Usijali kidukuHuu uzi ni wa masingle. Sasa nyie wadada mnaokoment humu halafu tukiwafata PM hamtujibu mna maana gani?

Mbna nmekufata PM umenichunia?Usijali kiduku![]()
Kutokua na mpenzi wakueleweka/wakudumuHahahaha kwan kuwa single maaan yake nn