Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 13,086
- 30,364
Mimi Kama shetani sikupendezwa na moment mlokuwa nayo ndo maana niliingilia Kati.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi Kama shetani sikupendezwa na moment mlokuwa nayo ndo maana niliingilia Kati.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Pole sana. Nadhani shida ilikuwepo hapo "kiukweli Maisha tuliyafurahia kiasi kwamba tulijiona duniani tunaishi wenyewe tu". Yaelekea mlijisahau mkaweka "guard" chini. Ukweli ni kwamba mambo yanaponoga shetani naye anakuwa karibu sana kutafuta upenyo ili aharibu.yaani mapenzi yale yalikuwa sio ya kawaida mume wangu tulishinda wote jikoni nikimpigisha stori yeye akiandaa chakula akimaliza anachukua kiti nakaa hapo wakati ananisaidia kuosha vyombo mimi nimekaa pembeni nampa stori hata zizizoeleweka.akitoka kidogo akirudi anapitia dukani lazima aniletee ile malt ya kahawa ya baridi sana au lazima aniletee kitu chochote.na yeye vilevile akitaka kutoka lazima nimbariki kwa mabusu yote mpaka ajione duniani hakuna mwanaume mwingine isipokuwa yeye.alipotoka huko alikokuwa ilikuwa haipiti lisaa limoja hajanipigia simu au mimi sijampigia simu wala kumtumia sms.movies za love story zilikuwa haziishi humo ndani.kiukweli maisha tuliyafurahia kiasi kwamba tulijiona duniani tunaishi wenyewe tu.mkuu hayo yalidumu kwa miezi mitano tu.yaani kilichofuata hapo ni kukerembeshana au ni kufanya nini mwanaume alibadilika ndani ya kipindi kifupi tu cha wakati mpaka kufikia kuachana.yaani mpaka nilijiuliza au nilichelewa kurenew limbwata nini
.Akikujibu nish2e hapa +213 madamVipi since September bado mnafurahia hilo penzi ama mlishaachana?, if yes hongereni sana.
Sawa mkuu! Ila huu ukimya mmh sidhani kama hawakuachana hawa! 😀😀.Akikujibu nish2e hapa +213 madam
Tuwekee mkuu! Tufaidi wote🤔Mrs Bishanga , bado upo humo? Kuna comment nataka kuweka 😊
Bado hajanijibu mpendwaTuwekee mkuu! Tufaidi wote🤔
We huna? Mdada.Aya Sasa wenye mapenzi yenu
SinaWe huna? Mdada.
Acha umbea!Vipi since September bado mnafurahia hilo penzi ama mlishaachana?, if yes hongereni sana.
We nini bana😀 au na wewe mlishaachana?Acha umbea!
Tunasubiri uingie in deep love na mkaka wa JF tuje kukutangaza hapa jukwaani!😄😄😄We nini bana😀 au na wewe mlishaachana?
Hahaa ndiyo tutakuja kutangaza tarehe yetu ya harusi😀 mkuu/kamati ya roho mbaya utajuta😏Tunasubiri uingie in deep love na mkaka wa JF tuje kukutangaza hapa jukwaani!😄😄😄
😛😛😛 Itakuwa Daaah ndo wameonjana jmnSawa mkuu! Ila huu ukimya mmh sidhani kama hawakuachana hawa! 😀😀
Tupe mrejesho mkuubinafsi nipo ktk kipindi hiki, kiukweli kama ni kupendwa napendwa haswaa na mm pia nampenda mno huyu masai wangu..hakika Mungu kanipa haja ya moyo wangu..kanipa wa kufanana nae, December nitakwenda kutoa mahari..tuzidi kuombeana wakuu
Umekuumizaje?Huu uzi umeniumiza