SubaiKijijini mwengemshindo mjini saitoti
Ili awe na jina la kimjinimjini nakumbuka mwaka 99 kuna jamaa alihamia mkwajuni toka kwao Kondoa alikuwa anajiita Salim kumbe jina lake anaitwa WasiwasiHalafu sielewagi maana ya huu mchezo,hata wadada na wakaka wa kazi wakifikaga mjini lazima wanabadili jina sielewi lengo haswa ni Nini?
La mjini tunakujua ni ElliHii ni ile generation ya nyuma kabisa, kipindi tunanunua majina ya wenzetu waliofaulu la saba ila wakashindwa kuendelea na elimu. '90's kurudi nyuma ndio kalikuwa kamchezo hako.
Amahiya msani weitho.....🤣Naanza na mimi mwenyewe kijijini kwetu naitwa Marwa Mahende ila mjini naitwa Emmanuel John.
Mai frendi.......Kijijini Matako Makubwa mjini Gentamycline
Mhola mami...😊Kashinje mtoto aliyetanguliza miguu wakati anazaliwa; nimebadili na kuitwa Equation x