Mdau ratiba zimenibana sana ..ila ntamalizia kile kisa cha ile maiti then tuanze nyingine... Ni mambo yamekuwa mengi kiasi mdau usihofuJasusi ,fanya jambo walau siku yangu iishe nikiwa na mbinu mpya
Sawa sawa ,hongera kwa majukumu, lijenga taifa kwanza kaka .Mdau ratiba zimenibana sana ..ila ntamalizia kile kisa cha ile maiti then tuanze nyingine... Ni mambo yamekuwa mengi kiasi mdau usihofu
Mdau shukrani bana .. nili clear jambo langu.. ila nimekoma kuazimisha pikipiki za wenyewe😂...unaazima chombo kumbe anakushikisha faini ambazo huzijui dah!Hahahaha😀😀😀
Huu ndo ulikuaga unyakuo sasa.Wewe kwenu ilikuwaje?
Sasa si ndo ulikuwa unampenda kimoyo moyo na hujafunguka ...? Kasela ka kitaa kakapita nae .... Pole kwa kuachana na mke pia ... maisha ndg yangu hawa viumbe tumeambiwa tuishi nao kwa akiliMaster sikuwa mmendea ila kwa alivyokuwa anajua kunipangilia nguo zangu na misosi kipindi hiko najuta kwanini sikumtongoza sababu nadhani angekuja kuwa replacement nzuri ya ex wife master .
Dah master umenikazania kweli kweli 🙌Sasa si ndo ulikuwa unampenda kimoyo moyo na hujafunguka ...? Kasela ka kitaa kakapita nae .... Pole kwa kuachana na mke pia ... maisha ndg yangu hawa viumbe tumeambiwa tuishi nao kwa akili
Huyu si Mizengo kayanzq Peter pinda kaka ?
Naona mshana aidha amechoka ugali wa mtaani na tunguli zake au ana undugu na kibatala sikuhiziHuyu si Mizengo kayanzq Peter pinda kaka ?
Sema huyu hadakwi kinyonge kaka ,si unajua na kiunoni ipo hivyo wale vijana wa T.OT hawatumwi hapa lazima waache ndalaNaona mshana aidha amechoka ugali wa mtaani na tunguli zake au ana undugu na kibatala sikuhizi
Sema huyu hadakwi kinyonge kaka ,si unajua na kiunoni ipo hivyo wale vijana wa T.OT hawatumwi hapa lazima waache ndalaNaona mshana aidha amechoka ugali wa mtaani na tunguli zake au ana undugu na kibatala sikuhizi
Enhee namna hiyo🥱