Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Ngoja nicheke kwanza afu narudi kusoma,kwamba ulishakuwa na pea 7 za viatu
Mrangi huyoJimama jeupe
Sana. Wanasumbua sijawah onaUliogopa kula tunda kimasihara😂
Ila kuishi na wenye nyumba muda mwingine taabu sana.
Acha tu, yaani yeye hanunui umeme ila ukibaki wakutumia siku 2 saa 11 alfajiri anazima switch, siku moja nikamwakia baada ya kodi kuisha nikaondoka zangu
Aluchofanya ni chamaana sana, angemng'ang'ania kama kupe, na asingeweza kuleta mtu wake mwingine hapo.Wewe ungevaa ndomu na kupiga mzigo kabla ya kusepa Ili kukwepa vibomu
Ivi mwanamke akiwa anakufanyia vitimbi Ina maana anakupenda au manaa nipo kazini aise ivi vitimbi vyao kudadeq napatwa na hasirana jamaa anaoneshwa njia zote lakini anajidai haoni
Tena wapangaji wengine wanapigwa biti hata kukuchajishia simu tuu
peeeeeeeeJimama jeupe