Tulia Ackson asipowahiwa kuna dalili akawehuka

Tulia Ackson asipowahiwa kuna dalili akawehuka

Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.

Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.

Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Damu za Watanganyika zaidi ya 10,000 walizomwaga 29.10.2025 haziwezi kuwaacha salama hata kidogo, huyo mwenyekiti wake mwenyewe bila kupiga gambe usiku anaweweseka na kulitaja jina la Mzee Kibao.
 
Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.

Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.

Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Acha kumpa hofu kila mara wanashauri tujiajiri,kama unajali kwanini hujampa ushauri ajiajiri?
 
Back
Top Bottom