Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,553
- 39,517
Fuatilia ila usianze kuumia kwa anayochapisha kama yanakuumiza acha kumfuatilia.Kwani ukimfuatilia mtu kwenye social media ina maana huna kazi za kufanya?
Fuatilia ila usianze kuumia kwa anayochapisha kama yanakuumiza acha kumfuatilia.Kwani ukimfuatilia mtu kwenye social media ina maana huna kazi za kufanya?
Cheo ukimkosa ni matesoHuyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Kwani alikuwa sawa lini?Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
AlishashughulikiwaKama anawakera nendeni mkamshughulikie
Wewe tu ndiye ulikuwa huna uwezo wa kutambua kuwa alikuwa Spika aliyekuwa chawa chini ya viwango.Kabla ya kutemwa uspika
Akiendelea kuwakera baada ya kumshughulikia, mshughulikieni zaidiAlishashughulikiwa
Mungu huenda kadiri ya wakati,dua njema utakazoimbewa huwa baraka kwako na zile mbaya huwa ni laana kwako,na ama ya Mungu sii mjomba Athumani,ama Msumari.Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Tafuta kazi ya kufanya sasa.acha kuumia na mambo ya mtu ambaye hata hakujui.Sina kazi mkuu
Huyo tayari ...Next ni wewe...Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Dr Rango anasikitisha Sana.Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Alizima mijadala ya Utekaji yote iliyoletwa bungeni... Laana inamtafunaAliunga mkono utekaji, wacha karma ifanye kazi
Damu zisizo na hatia zinamlilia.Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa
Huyu mama toka atumbuliwe uspika naona hajakaa sawa bado. Mara ajipost huko Instagram anaimba kwaya,Mara amrushie mwenyekiti wake wa chama madongo, Mara ajipost analia, Mara ajipost anacheza muziki.
Naona huyu mtu awahiwe kabla hajawa chizi kamili.
Tangu akose cheo akili bado haijamkaa sawa