mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Amekuachia wewe kazi hio ya kuleta clip nzuri.Wewe mleta mada wacha udhalilishaji, kwa nini usitafute clip nzuri unaleta hii!
Amekuachia wewe kazi hio ya kuleta clip nzuri.Wewe mleta mada wacha udhalilishaji, kwa nini usitafute clip nzuri unaleta hii!
Nzuri ni ipi? Kama alikua anajua itakua mbaya kwanini aliamua kujihusisha nayo?Wewe mleta mada wacha udhalilishaji, kwa nini usitafute clip nzuri unaleta hii!
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Siyo kila kitu mtu anachofanya kionyeshwe hadharani kwani vingine anavifanya bila kujitambua.Nzuri ni ipi? Kama alikua anajua itakua mbaya kwanini aliamua kujihusisha nayo?
Kwa hali kama hii Sugu atafute kazi nyingine tuu. Kumbe haka kamama ni hatari namna hii?Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Kwa hio na PH.d yake kumbe hajielewi?Siyo kila kitu mtu anachofanya kionyeshwe hadharani kwani vingine anavifanya bila kujitambua.
Bado naitafuta ambayo anatoa sera.Amekuachia wewe kazi hio ya kuleta clip nzuri.
Go Tulia. Wanawake tunaweza. Phd holder vs Ordinary level certificate.
Ila kwenye siasa Elimu ya mkoloni ni useless. Kama PhD holder anajidhalilisha namna hiyo kisa ubunge.
Huu upuruzi wa PhD holder asiye na akili kamwe hauwezi kumtisha SuguTulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
Nacheka kwa dharau, Tulia anaidhalilisha PhD yake. Mara abebe majeneza, mara awaombe mama lishe aoshe masufuria yao, she is more than fakeKweli amefunika Mbeya, kumyitu! Bujibuji upo?
Kwa wateule wa mkubwa inaruhusiwaHivi kampeni zimesharuhusiwa?