Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,954
Mwabukusi Boniface Mwaka 2020 aligombea ubunge Mbeya Mjini kupitia NCCR -Mageuzi na kama mwenzake wa CHADEMA Joseph Mbilinyi (Sugu) alidhulumiwa nafasi yake.
Kuna watu kama Tulia Ackson Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini, wanaoona kwamba kete hii ya Mwabukusi ya utetezi dhidi ya Ubinafishaji wa bandari inampa wafuasi wa kudumu Mwabukusi.
Kama ombi la Tulia la kugawanywa kwa Jimbo la Mbeya Mjini litakubaliwa, bado tishio la kukutana na upinzani mkali ama toka kwa Mwabukusi au Sugu litakuwepo.
Kwa Hiyo hofu dhidi ya Mwabukusi inatoka zaidi kwa Tulia Ackson kuliko kwa Rais Samia.
Kuna watu kama Tulia Ackson Mbunge wa sasa wa Mbeya Mjini, wanaoona kwamba kete hii ya Mwabukusi ya utetezi dhidi ya Ubinafishaji wa bandari inampa wafuasi wa kudumu Mwabukusi.
Kama ombi la Tulia la kugawanywa kwa Jimbo la Mbeya Mjini litakubaliwa, bado tishio la kukutana na upinzani mkali ama toka kwa Mwabukusi au Sugu litakuwepo.
Kwa Hiyo hofu dhidi ya Mwabukusi inatoka zaidi kwa Tulia Ackson kuliko kwa Rais Samia.