Tule chapati na kitimoto roast

Tule chapati na kitimoto roast

Hongera, napenda mwanaume anaeingia jikoni kupika sio mwanaume hata kujipikia chai tu hawezi.
 
Mm kitimoto bila mboga mboga HAPANA!!
KAZI ni kipimo cha utu
 
Kwa kweli nimekula hiyo chapati ila sijaipenda ila hii kitimoto kwa kweli uliipatia, nashauari serikali ipunguze bei kitimoto hapa nchini ili wananchi wote wapate kuila na kuwa na afya nzuri.
 
Hello

Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa

Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo

Nikaanza na chapati

View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto


View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Mzee baba umetisha.
Endelea na moyo huo huo wa kumheshimisha mkubwa wa jiko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom