Tukutate hapa wale wenye shauku kubwa ya kutambua kusudi la uwepo wao Duniani na wanaotamani kwa dhati kufanya jambo kwa pamoja

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,542
3,451
Habarini wadau, ndugu, jamaa na marafiki!..
Nimeona itakuwa vizuri kupitia uzi huu tukijadiliana kwa dhati kabisa juu ya hatma ya uwepo wetu Duniani.

Maisha siyo zaidi ya muda na nguvu " life is not more than a matter of time and energy"..tatizo ni namna tunavyoutumia muda na nguvu tulizojaliwa kwa kitambo kifupi tu.

Uzi huu ni ninatamani sana uwe ni mvuto wa watu wote wenye nia ya kupunguza utofauti uliopo kati ya kujifunza na kutenda.Kulingana na maandiko ya Ken Blanchard katika kitabu cha " One minute management" ameonesha tofauti iliyopo kati ya kutenda na kujifunza ni kubwa kama ile uliyopo kati ya ujinga na maarifa.

Ikumbukwemuda utaendelea kupita tu lakini binadamu tunao uwezo wa kuboresha nguvu zetu...Jiulize nguvu zako unazitumia namna gani katika kutimiza kusudi la uwepo wako?.

Karibu sana tujadiliane juu ya kujitawala na kutekeleza kusudi la kila mmoja wetu kwa pamoja, muda sahihi wa kujiuliza na kubadilika ni sasa. Hatujachelewa kuamua bado, ninaamini hili kinawezekana.
 
Nguvu zangu nazitumia kuchakata papuchi. Mungu amenipa hii organ kwa kusudi hilo ikishirikiana na organs nyingine kama kiuno na nyonga.
 
Mm huwa sielewagi watu wanaposema muda na nguvu ukizitumia ndoo huleta zaidi mafanikio.Ukienda Buguruni au Kariakoo ukaona wasukuma mikokoteni wanavyotumia nguvu na muda wao wote lakini hawajawahi kupata maisha mazuri.

Mm ni mwlm najitahidi kutumia muda wangu mwingi kufundisha wanafunzi na nguvu zangu zote tena kwa kujitolea ili wapate matokeo mazuri ila maendeleo kwenye maisha yangu siyaoni ,kila siku mambo ni magum .Hakuna anaekukumbuka kukupandisha daraja wala kukuongezea mshahara.Huwa nasema nimekuja duniani kufanya kitu nacho nikuakikisha taaluma yangu naitendea haki but maendeleo hakuna .

Lakini kuna watu hawatumii nguvu wala hawajali muda kiivyo but maisha yao ni mazuri kwa maaana wana mafanikio.Sasa ulivyoandika mkuu nakuelewa lakini maendeleoa na mafanikio naona kuna watu wameshaguliwa.
 
Nadhani kuna haja ya kuelewa maana hasa ya nguvu katika mawanda yake yote.
1.Mwili
2.Hisia
3.Akili n.k
............................
How we align those energy consciously determine how we can achieve anything we like.
Suala la kuwezekana au kutokuwezekana siyo la muhimu sana ila juu ya kuelekeza nguvu zetu katika hali ya urazini na chanya kwenye natamani yetu ndiyo siri ya mafanikio yetu.
 
Mkuu asili haipo hivyo...wewe ni muumbaji wa uhalisia wako ......stop creating negativity.
Mm huwa sielewagi watu wanaposema muda na nguvu ukizitumia ndoo huleta zaidi mafanikio.Ukienda Buguruni au Kariakoo ukaona wasukuma mikokoteni wanavyotumia nguvu na muda wao wote lakini hawajawahi kupata maisha mazuri.

Mm ni mwlm najitahidi kutumia muda wangu mwingi kufundisha wanafunzi na nguvu zangu zote tena kwa kujitolea ili wapate matokeo mazuri ila maendeleo kwenye maisha yangu siyaoni ,kila siku mambo ni magum .Hakuna anaekukumbuka kukupandisha daraja wala kukuongezea mshahara.Huwa nasema nimekuja duniani kufanya kitu nacho nikuakikisha taaluma yangu naitendea haki but maendeleo hakuna .

Lakini kuna watu hawatumii nguvu wala hawajali muda kiivyo but maisha yao ni mazuri kwa maaana wana mafanikio.Sasa ulivyoandika mkuu nakuelewa lakini maendeleoa na mafanikio naona kuna watu wameshaguliwa.
 
Nguvu zangu nazitumia kuchakata papuchi. Mungu amenipa hii organ kwa kusudi hilo ikishirikiana na organs nyingine kama kiuno na nyonga.
Mkuu ninaamini wewe ni muumbaji wa uhalisia wako...you are what yo think and also the creator of your reality.
 
Back
Top Bottom