Hata mkila bado shoo inakuwa dhaifu.
We mzee hebu haya mambo tuachie vijana we lea wajukuu bhana
Sijui wanakwama wapi mkuuMzeee sesten
Mabaharia wengi paka buster.... vinginevyo dah
Mshana una mawazo machafu sana ha ha haBasi nikadhani unataka kuandika K-Y
Hizo mambo huwa zinaleta impact yoyote au zinakupa confidence fake tu?
Nitafata ushauri wako ShadeeyaEkizagitiliy. š š š
Watakuwa wanatumika sana.Daslam wadada wagumu saana kupandishwa paka kibo. Wa mkoani maji mara moja.... sijui shida ipo wa wapandishaj au wadada
Duh, mimi Emirates sikatizi siku hizi.Basi nikadhani unataka kuandika K-Y
šššNitafata ushauri wako Shadeeya
Acha uwongo wewe, mi nakula ugali uliochanganywa na nafaka 6 zisizokobolewa na ninapiga mechi vizuri tu.Kula ugali afrika imekua kama dili, ugali ni moja ya vyakula vibaya sana kula, calories kibao alafu ni carbohydrate tu ambayo itakuja kugeuka kua fat, ndiyo maana watanzania wengi wana vitambi. Afya ya ovyo. Sababu za kupungua nguvu sio hata nutrition, tatizo wengi wanaangalia porn, you might think its not a big deal ila ni bigger than u can imagine.
Unaweza kua na hoja mkuu maana miaka ya nyuma mbona watu walikua wanakula sana ugali na wala hapakua na tishio la kupungukiwa na nguvu za mwili wala kiume?
Acha kupotoshwa kindezi nakati wazazi wetu walikula weee... maugali na bado heshima ilijengeka katika ndoa.Sasa tushike lipi tuache ugali au tuache porn?
mkuu nimekopi ulichoandikaAcha uwongo wewe, mi nakula ugali uliochanganywa na nafaka 6 zisizokobolewa na ninapiga mechi vizuri tu.
Tatizo ni kuendekeza vyakula vyenu vya kijinga jinga vyenye mafuta na kemikali nyingi bila kuzingatia lishe bora.
Dume zima linakula chipsi, kuku mataira, pizza, baga, mayai feki n.k wakati huo huo halizingatii;
Mazoezi, kutojipa stress, kujiamini, kunywa maji mengi, kucheki afya mara kwa mara na hata matumizi mabovu ya mwili kwa kuendekeza starehe mara kwa mara na mipombe kali.
Hebu nipe connection ya baharia mmoja wa kanda ya ziwaKanda ya ziwa hakuna hayo mavitu lakini wanapiga show zenye viwango vya juu sana... Wengine mnakwama waaapi???
Dume zima linakula chipsi, kuku mataira, pizza, baga, mayai feki n.k wakati huo huo halizingatii; JUNK FOODSAcha uwongo wewe, mi nakula ugali uliochanganywa na nafaka 6 zisizokobolewa na ninapiga mechi vizuri tu.
Tatizo ni kuendekeza vyakula vyenu vya kijinga jinga vyenye mafuta na kemikali nyingi bila kuzingatia lishe bora.
Dume zima linakula chipsi, kuku mataira, pizza, baga, mayai feki n.k wakati huo huo halizingatii;
Mazoezi, kutojipa stress, kujiamini, kunywa maji mengi, kucheki afya mara kwa mara na hata matumizi mabovu ya mwili kwa kuendekeza starehe mara kwa mara na mipombe kali.
Hahahaaa anakuja na theories zake ambazp hata yeye mwenyewe haziaminiš¤£š¤£š¤£Jamaa ni gwiji la uwongo kiwango cha SGR
Hahahaaa anakuja na theories zake ambazp hata yeye mwenyewe haziamini