PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Asha Mwana Seif
You are lost man...ulikuwa vekesheni nini Mkuu?../off-records/
Asha Mwana Seif
You are lost man...ulikuwa vekesheni nini Mkuu?../off-records/
v.i.p jery nashon dudumizi& vijana jazz
"ahera hakuendeki,dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,ahera hakuendeki dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo"
"si maji wala soda vitakavyozima kiu yangu,ila ni wewe viaipiii(vip),si maji wala soda vitakavyozima kiu yanguuu,iila ni weweeeee,viaipiiii"
"ahera hakuendeki,dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,ahera hakuendeki dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo"
"si maji wala soda vitakavyozima kiu yangu,ila ni wewe viaipiii(vip),si maji wala soda vitakavyozima kiu yanguuu,iila ni weweeeee,viaipiiii"
"binadamu hanunuliwi kama nguoo viaipii,ungekuwa dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako utanitorokaa"
"nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwakooo,kwa uzuri ulionao viaipii,natamani penzi letu liwe penzi la ndotoni,tafadhali nakusihi viaipii,nakuomba uwe wangu viaipii,ili niondokane na ndoto za mapenzi"
"binadamu hanunuliwi kama nguooo viaipii,ungekuwa dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako utanitorokaaa"
"ukinikubali viaipii,mimi niko tayari,kubadili dini,ukinikubaliii viaipii mimi niko tayariiii,kubadili dini,hata kama wazazi wangu hawapendi,nitafanyafanya mipando niwe na wewe smbamba(sambamba) nitafanyafanya mipango niwe nawee sambambaaa"
"binadamu hanunuliwi kama nguooo viaipii,ungekuwa dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako utanitorokaaa"
"ukinikubalii viaipii,nitatoa mahali ya mbuzi saba,ukinikubalii viaipi,nitatoa mahaliii ya mbuzi saba......"
hahahaha asante sana kwa kunihabarisha ndo hapo nilkuwa sielewi..
V.I.P Jery Nashon Dudumizi& Vijana Jazz
"Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo"
"Si maji wala Soda vitakavyozima kiu yangu,ila ni wewe Viaipiii(VIP),si maji wala Soda vitakavyozima kiu yanguuu,iila ni weweeeee,viaipiiii"
"Ahera hakuendeki,Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikooo,ahera hakuendeki Dunia haikaliki nimepatwa na mfadhaikoooo"
"Si maji wala Soda vitakavyozima kiu yangu,ila ni wewe Viaipiii(VIP),si maji wala Soda vitakavyozima kiu yanguuu,iila ni weweeeee,viaipiiii"
"Binadamu hanunuliwi kama nguoo viaipii,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako utanitorokaa"
"Nina nia ya kuwasha moto wa mapenzi kwakooo,kwa uzuri ulionao viaipii,natamani penzi letu liwe penzi la ndotoni,tafadhali nakusihi viaipii,nakuomba uwe wangu viaipii,ili niondokane na ndoto za mapenzi"
"Binadamu hanunuliwi kama nguooo viaipii,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako utanitorokaaa"
"Ukinikubali viaipii,mimi niko tayari,kubadili dini,ukinikubaliii viaipii mimi niko tayariiii,kubadili dini,hata kama wazazi wangu hawapendi,nitafanyafanya mipando niwe na wewe smbamba(sambamba) nitafanyafanya mipango niwe nawee sambambaaa"
"Binadamu hanunuliwi kama nguooo viaipii,ungekuwa Dukani ningekununua nikuweke ndani,lakini nikikununua bila mapenzi yako utanitorokaaa"
"Ukinikubalii viaipii,nitatoa mahali ya mbuzi saba,ukinikubalii viaipi,nitatoa mahaliii ya mbuzi saba......"
Jacky-Nico Zengekala
Mtoto Jackiee,mtoto wa Nirobi
Ingawa ni mara ya kwanza mimi nawe Jackiee
Tulipokutana palee Kampala kwenda Nairobi
Tulifurahiana sana kama tuliishi mwaka
Tabia yako njema kweli sitoisahau.
Mtotoo Jackie,mtoto wa mama Jackie wa mapendo
Japokuwa tuliachana stendi ukielekea Nairobi nyumbani eeh
Lakini tutakutana,nitakuja kutembelea,nawe karibu nyumbani eeh
Ooh Jackie yeyeeeh
Mtoto wa mama Jackie wa mapendo
Japokuwa tuliachana stendi,ukielekea Nairobi nyumbani eeh
LAkini tutakutana,nitakuja kutembelea,nawe karibu nyumbani eeh
Ooh Jackie yeyeeeh
Kiitikio:
Mtoto Jackie eeh,mpenzi wangu najaribu kukusahau lakini nashindwa
Hasa ni ile ndoto inayonisumbua naota unaniletea kifuko cha DHAMBARAU
Nimejaribu kukusahau lakini nashindwa,hasa ni kwa ile ndoto inayonisumbua eeh
Mtoto Jackie eeh,mpenzi wangu najaribu kukusahau lakini nashindwa
Hasa ni ile ndoto inayonisumbua naota unaniletea kifuko cha DHAMBARAU
Nimejaribu kukusahau lakini nashindwa,hasa ni kwa ile ndoto inayonisumbua eeh
Mtoto Jackie eeh,mpenzi wangu najaribu kukusahau,lakini nashindwa,hasa ni kwa ile ndoto inayonisumbua naota unaniletea kifuko cha DHAMBARAU
Sauti yako nyororo inaniua sana na mwendo wako wa maringo unanikondesha mamaaah,ayoleli mwanamama nakuwinda sana Jackie yeyeyeeeh mwanamamaah aeaeeh
Mtoto Jackie eeh,mpenzi wangu najaribu kukusahau,lakini nashindwa,hasa ni kwa ile ndoto inayonisumbua naota unaniletea kifuko cha DHAMBARAU
Mvumilivu hula mbivu,Jacki yeyeeeh,mvumilivu hula mbivu Jackie yeyeeeh
Jaribu kuvumilia yeeh tutaonana mamaah kama sio Kampala ni Tanzania mamaa
Jackie yeyeyeeh mwanamama aeaeeh
Mtoto Jackie eeh,mpenzi wangu najaribu kukusahau,lakini nashindwa,hasa ni kwa ile ndoto inayonisumbua naota unaniletea kifuko cha DHAMBARAU
Jackie yeyeyeeh nitakuja Nairobi
Nitakuja Nairobi eeh nikuone mamaah
Jackie yeyeyeeh nitakuja Nairobi
Tutafurahi pamoja mi na wewe mama yeeh
Jackie yeyeyeeh nitakuja Nairobi
Jackie yeyeyeeh Maneno sema na yeye
Jackie yeyeyeeh nitakuja Nairobi
__________________
heee mpendwa na wee umo!!!!!
Sauda(Mv Mapenzi) namba 1-Sikinde
Hahaaaa,nami sivumi lakini nimo aisee...Hapa mimi ndo mahali pangu
Balanta....! unaweza shusha mistari hapa as well + ile kibao cha Monica........kukimbilia Zambia etc etc....?