babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,025
"hivi ni vituko uswahili,uswahilini kuna vitukoo"
mchizi gani yule aliimba hii kitu?
Suma g ama nani?
mchizi gani yule aliimba hii kitu?
Suma g ama nani?
Dah all in all Solo thang na wimbo wake Solo na mpenzi! Vina na hisia za ukweli! Solo thang upooo!
'angekuwepo duniani nisingewaza,rafiki yangu kipenzi niliempenda,
'hayuko tena duniani swahiba,niliempenda kwa wangu moyo swahiba' *2
Jamani tuongee ukweli.kulikuwa na ngoma kali sana zenye ujumbe kuliko sasa.
1.nyalu land-mike T
2.wauguzi-wagosi
3.ingekuwa vipi-FA
4.haturap-FA
5.posta -........,
6.mtazamo
7.sister sister-GK
8.vumilia etc
Solo noumaaaaaaaaa! msikilize kwenye ile nyimbo na feruzi unaoitwa boss kama sikosei! alishuka verse hatari hasa alipo pause ki hip hop pale aliposema "anhaaa chana karatasi" ni maneno marahisi lakini namna alivyounganisha maneno lazima umkubali.Nilimpenda solo kwenye mtazamo wa afande sele, au ule wimbo wake wa simu yangu na soggy doggy.
Ni Buzz Double Seven, Six Nine Zero,
Piga namba hii popote uliza Solo,
Ila kama ni kimeo usipige kwani Mgogoro,
Hata kama niko Dar, nitajibu niko Moro,
Wananiita Solothang a.k.a "Not Reachable"
Hapo simu nishazima natafutwa na vinabo
Wakiiba hii moja tu nanunua double!!