MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,985
- 2,587
Uwanja wa mapepo ya kunji. Vijana hawajui maana ya kunji hahaaaUDSM sasa hivi hamna kitu aisee. Rev Square pamepandwa maua na yamestawi vizuri kabisa.
Hata watoto walioko UDSM sasa hivi hawajui kama pale panaitwa Rev Square.