Tukubali kuwaachia nchi watawale wapendavyo?

Tukubali kuwaachia nchi watawale wapendavyo?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,237
Reaction score
44,470
Hili swali ni lazima tulipatie jibu. Nchimbi anaweza kufikishwa mahakamani..hawatamuacha "astaafu". Anaweza kuwa kizuizini asiondoke, asiseme na asikutane na watu anaowataka.

Damian analazimisha migogoro ya Kikatiba..alianza na Ndugai..Sasa Nchimbi..na anayekuja ni jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani ambaye hatokaa kwenye staring.

Hatuhitaji Katiba Mpya
Hatuhitaji Maridhiano
Tunataka Tanganyika huru na yenye mamlaka Kamili!!!

Niliamini kwa miaka mingi Muungano wetu..niliamini katika kubeba asiyebebeka...

Imetosha...Tanganyika ni ya Watanganyika!!!
 
Hili swali ni lazima tulipatie jibu. Nchimbi anaweza kufikishwa mahakamani..hawatamuacha "astaafu". Anaweza kuwa kizuizini asiondoke, asiseme na asikutane na watu anaowataka.

Damian analazimisha migogoro ya Kikatiba..alianza na Ndugai..Sasa Nchimbi..na anayekuja ni jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani ambaye hatokaa kwenye staring.

Hatuhitaji Katiba Mpya
Hatuhitaji Maridhiano
Tunataka Tanganyika huru na yenye mamlaka Kamili!!!

Niliamini kwa miaka mingi Muungano wetu..niliamini katika kubeba asiyebebeka...

Imetosha...Tanganyika ni ya Watanganyika!!!
Hatuhitaji Katiba Mpya
Hatuhitaji Maridhiano
Tunataka Tanganyika huru na yenye mamlaka Kamili!!!
 
Tanganyika imepatwa na Samia, kivuli chake kimewapata Watanganyika.

As long as alijitabainisha hadharani kuwa nini ambacho angaliwaambia Watanzania ni kuipambania katiba mpya, basi itakuwa fursa muhimu kwake na wale wanaomuunga mkono kufanya hivyo sasa ili katiba mpya ipatikane.
 
Hili swali ni lazima tulipatie jibu. Nchimbi anaweza kufikishwa mahakamani..hawatamuacha "astaafu". Anaweza kuwa kizuizini asiondoke, asiseme na asikutane na watu anaowataka.

Damian analazimisha migogoro ya Kikatiba..alianza na Ndugai..Sasa Nchimbi..na anayekuja ni jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani ambaye hatokaa kwenye staring.

Hatuhitaji Katiba Mpya
Hatuhitaji Maridhiano
Tunataka Tanganyika huru na yenye mamlaka Kamili!!!

Niliamini kwa miaka mingi Muungano wetu..niliamini katika kubeba asiyebebeka...

Imetosha...Tanganyika ni ya Watanganyika!!!
ukiona giza nene namna hiyo na alfajiri inakaribia
 
Hili swali ni lazima tulipatie jibu. Nchimbi anaweza kufikishwa mahakamani..hawatamuacha "astaafu". Anaweza kuwa kizuizini asiondoke, asiseme na asikutane na watu anaowataka.

Damian analazimisha migogoro ya Kikatiba..alianza na Ndugai..Sasa Nchimbi..na anayekuja ni jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani ambaye hatokaa kwenye staring.

Hatuhitaji Katiba Mpya
Hatuhitaji Maridhiano
Tunataka Tanganyika huru na yenye mamlaka Kamili!!!

Niliamini kwa miaka mingi Muungano wetu..niliamini katika kubeba asiyebebeka...

Imetosha...Tanganyika ni ya Watanganyika!!!
Huaminiki tena!
 
Hili swali ni lazima tulipatie jibu. Nchimbi anaweza kufikishwa mahakamani..hawatamuacha "astaafu". Anaweza kuwa kizuizini asiondoke, asiseme na asikutane na watu anaowataka.

Damian analazimisha migogoro ya Kikatiba..alianza na Ndugai..Sasa Nchimbi..na anayekuja ni jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani ambaye hatokaa kwenye staring.

Hatuhitaji Katiba Mpya
Hatuhitaji Maridhiano
Tunataka Tanganyika huru na yenye mamlaka Kamili!!!

Niliamini kwa miaka mingi Muungano wetu..niliamini katika kubeba asiyebebeka...

Imetosha...Tanganyika ni ya Watanganyika!!!

Sawasawa kabisa

Mwalimu aliunga hizi nchi mbili akitegemea "Free will" ya watu wenyewe, akadhani nia njema yatosha

Lakini katika muungano, unapoua nchi moja huku nyingine ukaliacha likiwa hai hata kama umelipunguzia nguvu, basi ujue loyalty ya watu wa nchi hiyo itakuwa divided.

Wale uliowabakishia nchi yao Wataipenda nchi yao ya asili kwanza halafu ile nyingine ya wote itakuja next. Wakati wale wengine ulioua nchi yao, wao masikini wanajua kuwa nchi yao ni moja!.

Hatuwezi kuwa na double loyalty ndani ya nchi halafu ukasema tu wamoja. Mwalimu hakuliona hili!

Labda udogo wa Zanzibar ulimpofusha akadhani haina uwezo wa kuitetemesha Tanganyika, akasahau kuwa nchi ni nchi, ukishaipa veto ya kinchi basi ukubwa wake au udogo wake si hoja tena.

Leo Tanganyika ni shamba la bibi, haina mtetezi, mali zake ni cha wote, hakuna wa kutetea au kulinda maslahi yake ndani ya muungano, wakati Zanzibar chao ni chao peke yao ila cha Tanganyika ni chao pia!

Tunaitaka Tanganyika yetu!
 
Sawasawa kabisa

Mwalimu aliunga hizi nchi mbili akitegemea "Free will" ya watu wenyewe, akadhani nia njema yatosha

Lakini katika muungano, unapoua nchi moja huku nyingine ukaliacha likiwa hai hata kama umelipunguzia nguvu, basi ujue loyalty ya watu wa nchi hiyo itakuwa divided.

Wale uliowabakishia nchi yao Wataipenda nchi yao ya asili kwanza halafu ile nyingine ya wote itakuja next. Wakati wale wengine ulioua nchi yao, wao masikini wanajua kuwa nchi yao ni moja!.

Hatuwezi kuwa na double loyalty ndani ya nchi halafu ukasema tu wamoja. Mwalimu hakuliona hili!

Labda udogo wa Zanzibar ulimpofusha akadhani haina uwezo wa kuitetemesha Tanganyika, akasahau kuwa nchi ni nchi, ukishaipa veto ya kinchi basi ukubwa wake au udogo wake si hoja tena.

Leo Tanganyika ni shamba la bibi, haina mtetezi, mali zake ni cha wote, hakuna wa kutetea au kulinda maslahi yake ndani ya muungano, wakati Zanzibar chao ni chao peke yao ila cha Tanganyika ni chao pia!

Tunaitaka Tanganyika yetu!
Hili ni kweli...kwa muda mrefu watu wa Tanganyika hawakuhofia Zanzibar ..hadi Ile Oktoba 29...something changed...na hili la Nchimbi limeongezea tu
 
Hili swali ni lazima tulipatie jibu. Nchimbi anaweza kufikishwa mahakamani..hawatamuacha "astaafu". Anaweza kuwa kizuizini asiondoke, asiseme na asikutane na watu anaowataka.

Damian analazimisha migogoro ya Kikatiba..alianza na Ndugai..Sasa Nchimbi..na anayekuja ni jaji yeyote wa Mahakama ya Rufani ambaye hatokaa kwenye staring.

Hatuhitaji Katiba Mpya
Hatuhitaji Maridhiano
Tunataka Tanganyika huru na yenye mamlaka Kamili!!!

Niliamini kwa miaka mingi Muungano wetu..niliamini katika kubeba asiyebebeka...

Imetosha...Tanganyika ni ya Watanganyika!!!
Mzee Mwanakijiji
Nani wa kuchukua hatua?

Wenye jukumu la kulinda Katiba (JWTZ) wameamua kujishikamanisha tena kwa kiapo na CCM

Tusubiri Malaika kutoka Mbinguni watusaidie
 
Na hiki ndicho kinachoenda kutokea
kuna miwan myeusi mmoja mjed aliwahi niambi ima akitolewa tu kuna kundi litakiwasha maana hii itakuwa too much na wao na hilo kundi hawatokubali kamwe nikabet kuwa hakuna kitu kama hicho nikamwambia ima atatolewa na hakuna watakalofanya sasa nasubiri muda tulioahidiana upite aidha nile hela yake au ale yangu
 
Back
Top Bottom