Dangote aichagua Kenya badala ya Tanzania kuanzisha kiwanda kikubwa cha kusafishia mafuta

Dangote aichagua Kenya badala ya Tanzania kuanzisha kiwanda kikubwa cha kusafishia mafuta

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
1,090
Reaction score
3,444
Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku

Mabadiliko ya kutoka Tanga kwenda Kenya​

Mradi huu unakuja kufuatia taarifa za awali za Rais wa Kampuni hiyo, Aliko Dangote, aliyethibitisha mpango wa kujenga kiwanda cha mafuta katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Awali, mradi huo ulipangwa kujengwa kwenye Bandari ya Tanga nchini Tanzania, kabla ya kampuni hiyo kubadilisha mwelekeo na kuhamishia nia yake nchini Kenya.

Makamu wa Rais wa Dangote anayeshughulikia Kitengo cha Mafuta na Gesi, Devakumar Edwin, altangaza mpango huo wakati wa ziara ya ujumbe kutoka shirika la taifa la mafuta la Jamhuri ya Congo, waliotembelea mtambo wa Dangote uliopo Lekki, Lagos.

Edwin alibainisha kuwa kiwanda cha sasa cha Nigeria kitakuwa na uwezo wa kuchakata pipa milioni 1.4 kwa siku, huku mtambo mpya uliopangwa kujengwa nchini Kenya ukiongeza pipa nyingine 700,000.

"Uwekezaji huu utafanya uwezo wa jumla wa usafishaji mafuta wa kampuni ya Dangote kufikia pipa milioni 2.1 kwa siku," alisema Edwin



===================

Dangote Industries Limited (DIL) plans to develop a 700,000-barrel-per-day oil refinery in Kenya as part of its wider expansion across Africa’s energy sector.

The proposed facility will supply refined fuel to Kenya and other East African markets, supporting efforts to strengthen regional energy security and reduce dependence on imported petroleum products.

Devakumar Edwin, Group Vice President for Oil and Gas at Dangote Industries, announced the planned capacity during a visit by a delegation from the Republic of the Congo’s national oil company to the Dangote Petroleum Refinery in Lagos on 1 July.

Edwin said Dangote’s Nigerian refining operations would process 1.4 million barrels per day, while the planned Kenyan facility would add a further 700,000 barrels per day.

Together, the developments would increase the group’s combined refining capacity to 2.1 million barrels per day.

The project follows earlier comments by Aliko Dangote, President of Dangote Group, confirming plans to develop a new oil refinery in East Africa. The facility was initially proposed for the Port of Tanga in Tanzania, before the company shifted its attention to Kenya.a


Source: Oil and Gas, Business Insider, Channels TV
 
angalia mavazi peke yake, alipokutana na Ruto alivaa kama businessman kuanzia kiatu mpaka business suit vs tanzagiza kavaa kanzu na sneakers kama anaenda msikitini, inakwambia kila kitu.

a picture is worth a thousand words ...
1783426122535.png


vs

1783426269459.png
 
Dangote ameingia mikataba mimgi na total energies ya ufaransa kumbuka french na washirika wake adui wao mkubwa ni Russia ambako Samia ameenda kuungana nae.

Dangote hawezi kuwekeza kwenye nchi ambayo ni adui na westerners
 
angalia mavazi peke yake, alipokutana na Ruto alivaa kama business man kuanzia kiatu mpaka bussiness suit vs tanzagiza kavaa kanzu na sneakers kama anaenda msikitini, inakwambia kila kitu.

a picture speaks a thousand words ...
View attachment 3624264

vs

View attachment 3624267
Yule msemaji wao wa serikali kaingia mitini ameshindwa kutoa maelezo kwanini dangote kakimbia Tanzania na kwenda kenya
 
Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku

Mabadiliko ya kutoka Tanga kwenda Kenya​

Mradi huu unakuja kufuatia taarifa za awali za Rais wa Kampuni hiyo, Aliko Dangote, aliyethibitisha mpango wa kujenga kiwanda cha mafuta katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Awali, mradi huo ulipangwa kujengwa kwenye Bandari ya Tanga nchini Tanzania, kabla ya kampuni hiyo kubadilisha mwelekeo na kuhamishia nia yake nchini Kenya.

Makamu wa Rais wa Dangote anayeshughulikia Kitengo cha Mafuta na Gesi, Devakumar Edwin, altangaza mpango huo wakati wa ziara ya ujumbe kutoka shirika la taifa la mafuta la Jamhuri ya Congo, waliotembelea mtambo wa Dangote uliopo Lekki, Lagos.

Edwin alibainisha kuwa kiwanda cha sasa cha Nigeria kitakuwa na uwezo wa kuchakata pipa milioni 1.4 kwa siku, huku mtambo mpya uliopangwa kujengwa nchini Kenya ukiongeza pipa nyingine 700,000.

"Uwekezaji huu utafanya uwezo wa jumla wa usafishaji mafuta wa kampuni ya Dangote kufikia pipa milioni 2.1 kwa siku," alisema Edwin



===================
Mimi naona Tanga imeshindikana kwasababu Dangote hatoweza kukaa meza moja na Total energies.

Na Total energies EACOP ndio kama yaoo!

Yaani leo Dangote awe na refinery aletewe mafuta na Total Energies hata kama yanatoka Uganda
 
Serikali ya CCM ni wajinga sana.Walitakiwa kuwahi pale kahama kuwa na kiwanda cha kusafisha mafuta..Wao wakaona pesa za ujenzi ndio zinafaa
Mtuache... Sisi tuna Simba na Yanga... Mengine sifa
 
Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku

Mabadiliko ya kutoka Tanga kwenda Kenya​

Mradi huu unakuja kufuatia taarifa za awali za Rais wa Kampuni hiyo, Aliko Dangote, aliyethibitisha mpango wa kujenga kiwanda cha mafuta katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Awali, mradi huo ulipangwa kujengwa kwenye Bandari ya Tanga nchini Tanzania, kabla ya kampuni hiyo kubadilisha mwelekeo na kuhamishia nia yake nchini Kenya.

Makamu wa Rais wa Dangote anayeshughulikia Kitengo cha Mafuta na Gesi, Devakumar Edwin, altangaza mpango huo wakati wa ziara ya ujumbe kutoka shirika la taifa la mafuta la Jamhuri ya Congo, waliotembelea mtambo wa Dangote uliopo Lekki, Lagos.

Edwin alibainisha kuwa kiwanda cha sasa cha Nigeria kitakuwa na uwezo wa kuchakata pipa milioni 1.4 kwa siku, huku mtambo mpya uliopangwa kujengwa nchini Kenya ukiongeza pipa nyingine 700,000.

"Uwekezaji huu utafanya uwezo wa jumla wa usafishaji mafuta wa kampuni ya Dangote kufikia pipa milioni 2.1 kwa siku," alisema Edwin



===================

Dangote Industries Limited (DIL) plans to develop a 700,000-barrel-per-day oil refinery in Kenya as part of its wider expansion across Africa’s energy sector.

The proposed facility will supply refined fuel to Kenya and other East African markets, supporting efforts to strengthen regional energy security and reduce dependence on imported petroleum products.

Devakumar Edwin, Group Vice President for Oil and Gas at Dangote Industries, announced the planned capacity during a visit by a delegation from the Republic of the Congo’s national oil company to the Dangote Petroleum Refinery in Lagos on 1 July.

Edwin said Dangote’s Nigerian refining operations would process 1.4 million barrels per day, while the planned Kenyan facility would add a further 700,000 barrels per day.

Together, the developments would increase the group’s combined refining capacity to 2.1 million barrels per day.

The project follows earlier comments by Aliko Dangote, President of Dangote Group, confirming plans to develop a new oil refinery in East Africa. The facility was initially proposed for the Port of Tanga in Tanzania, before the company shifted its attention to Kenya.a


Source: Oil and Gas, Business Insider, Channels TV
Kila la kheri kwake kama mfanyabiashara, Tanzania bado tunaweza kuanzisha kwa ushirikiano na china bila waswasi kabisa,uwezo tunao,nguvu tunazo,mikono tunayo!,
Energy nzuri ya kusafishia mafuta ambayo ni gas tunayo what next? Ni maamuzi tu....
 
Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku

Mabadiliko ya kutoka Tanga kwenda Kenya​

Mradi huu unakuja kufuatia taarifa za awali za Rais wa Kampuni hiyo, Aliko Dangote, aliyethibitisha mpango wa kujenga kiwanda cha mafuta katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Awali, mradi huo ulipangwa kujengwa kwenye Bandari ya Tanga nchini Tanzania, kabla ya kampuni hiyo kubadilisha mwelekeo na kuhamishia nia yake nchini Kenya.

Makamu wa Rais wa Dangote anayeshughulikia Kitengo cha Mafuta na Gesi, Devakumar Edwin, altangaza mpango huo wakati wa ziara ya ujumbe kutoka shirika la taifa la mafuta la Jamhuri ya Congo, waliotembelea mtambo wa Dangote uliopo Lekki, Lagos.

Edwin alibainisha kuwa kiwanda cha sasa cha Nigeria kitakuwa na uwezo wa kuchakata pipa milioni 1.4 kwa siku, huku mtambo mpya uliopangwa kujengwa nchini Kenya ukiongeza pipa nyingine 700,000.

"Uwekezaji huu utafanya uwezo wa jumla wa usafishaji mafuta wa kampuni ya Dangote kufikia pipa milioni 2.1 kwa siku," alisema Edwin



===================

Dangote Industries Limited (DIL) plans to develop a 700,000-barrel-per-day oil refinery in Kenya as part of its wider expansion across Africa’s energy sector.

The proposed facility will supply refined fuel to Kenya and other East African markets, supporting efforts to strengthen regional energy security and reduce dependence on imported petroleum products.

Devakumar Edwin, Group Vice President for Oil and Gas at Dangote Industries, announced the planned capacity during a visit by a delegation from the Republic of the Congo’s national oil company to the Dangote Petroleum Refinery in Lagos on 1 July.

Edwin said Dangote’s Nigerian refining operations would process 1.4 million barrels per day, while the planned Kenyan facility would add a further 700,000 barrels per day.

Together, the developments would increase the group’s combined refining capacity to 2.1 million barrels per day.

The project follows earlier comments by Aliko Dangote, President of Dangote Group, confirming plans to develop a new oil refinery in East Africa. The facility was initially proposed for the Port of Tanga in Tanzania, before the company shifted its attention to Kenya.a


Source: Oil and Gas, Business Insider, Channels TV
Hiyo nayo ni habari? Uwekezajini uamuzi wake! Mombasa na Tanga havina tofauti viko karibu sana! Ila mafuta ghafi yatatoka Tz ndiyo biashara hiyo!
 
Back
Top Bottom