MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 710
- Thread starter
- #101
Walas Ba, si lazima tuwe na ujumbe mmoja lakini unakaribishwa kutoa maoni yako kuhusu ujumbe usomeke kwa namna gani; kuwa mbunifu. Muhimu tuwe na tarehe moja tu!Me nashindwa kuamin kwamb humu karibia laki mbil 2nashndwa kuwa specimen kwenye h issue.
Kwa mfano me hapa nilpo nina zaid ya sms 5000, so hata nkitma kwa watu mia ntakuwa nimefanya k2,
Halaf vkwa hawa wanaosema kwamb hatna madhara xana kwenye,makampun basi 2fanye ,hata kama hatuna madhara ,haina shda kwan lengo letu sio kujua kwamb 2namadhara bt tujue kwamb hatutaki kuonewa na wachache(mafisadi)
Pia ndugu MwanaHaki ningependa 2fanya conclution ya ujumbe ambao 2tatumia kuwajulisha jamaa zetu wengne, Huo ujumbe inabdi uwekwe kweny bandiko lako tena pale mwanzon ili kurahsisha kuuna the tuna copy na kuutum kwa wenzetu.
Me binaf nip tayar kwa huu mgomo,iwapo tu utakuw wel organized , hata kweny social media nitaweka kuwashwishi weng,kadri niwezavyo!
by
Walas Ba
Last edited by a moderator: