Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,924
- 4,521
Hi mada ni ngumu sana ila nashukuru nimejifunza kitu muhimu sana
1) Mwili upo nyuma ya muda yani mwili ndio unafuata muda yani past ,present and future
2)Roho haifuati muda na ipo mbele ya muda ndio maana unaweza ukaota msiba utakao tokea siku 2 au 3 mbele yani hapa tayari Roho inakujulisha kuwa kuna msiba utatokea muda ukifika unatokea kweli
Au unaweza ukaamka asubuhi ukaona mkono wako wa kulia au kushoto unawasha hapa Roho inakuambia kuwa Leo utapata pesa au utatoa pesa na kweli muda ukifika hilo tukio linatokea
Conclusion yangu ni kwamba Roho ndio ilianza kuumbwa baadee ukafuata muda na baadae ukafuata mwili
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
1) Mwili upo nyuma ya muda yani mwili ndio unafuata muda yani past ,present and future
2)Roho haifuati muda na ipo mbele ya muda ndio maana unaweza ukaota msiba utakao tokea siku 2 au 3 mbele yani hapa tayari Roho inakujulisha kuwa kuna msiba utatokea muda ukifika unatokea kweli
Au unaweza ukaamka asubuhi ukaona mkono wako wa kulia au kushoto unawasha hapa Roho inakuambia kuwa Leo utapata pesa au utatoa pesa na kweli muda ukifika hilo tukio linatokea
Conclusion yangu ni kwamba Roho ndio ilianza kuumbwa baadee ukafuata muda na baadae ukafuata mwili
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app