Tukiondoa muda ni nini kinabaki?

Tukiondoa muda ni nini kinabaki?

Vipi kama mwengine akisema muda ni matukio?

Mchana ni tukio, usiku ni tukio na tunaona haya matukio yakipishana. Matukio yakamfanya binadamu aunde nadharia kwa kulingana na matukio husika. Binadamu akaunda muda.

Tu-assume kama ingelikuwa ni mchana tu pasipo usiku au ni usiku tu pasipo mchana pengine tungehesabu kuwa tuna muda?

Kwa maana hiyo kama hakuna matukio-hakuna muda! Ikiwa mleta Uzi anauliza ukiondoa muda kutabakiwa na nini? Kitakachobaki ni umilele kwa hali ileile iliyokuwa.
Hakuna mwenye jibu sahihi. We twanga tu ali mradi una-make sense brother 😁😁😁
 
Da wanangu tutafute Hela tu hizi nadharia zinachanganya muda ni umilele na haujawahi kusimama hata Dunia itakapofika mwisho bado Muda utaendelea kuwepo
 
Da wanangu tutafute Hela tu hizi nadharia zinachanganya muda ni umilele na haujawahi kusimama hata Dunia itakapofika mwisho bado Muda utaendelea kuwepo
Ni vipi tukisema hakuna kitu kinaitwa muda, bali ni calculations za sisi binadamu kujiwekea taratibu kwaajili ya kuicontroll dunia
 
Wakuu naombeni mnifungue akili katika hili limenifikirisha mno, imewezekana vipi. Future iwe ndio hiyohiyo past, future ndio inajijengea past, palipo na future ndipo miguu ya past ilipo hapohapo, na ukiangalia past utaweza kujikuta umejenga future.

Deep down katika kufikiri nauona muonekano halisi wa future unajidhihirisha kwenye past, maana haiwezekani kuiona future ukiwa upo kwenye future mpaka ifikie kuwa past, na ukirudi nyuma kwenye past hiyohiyo, utajiona ulikuwa kwenye future pia kwa nyakati hiyo.

Na inafahamika kuwa hakuna future bila present na hakuna past bila ya present kuhusika katika wakati huo.

Unajua Muda huu naandika nipo kwenye present, na ndani ya muda huu nipo pia kwenye past ambayo ilikuwa future na kisha future itanigeukia tena kuwa past baada ya muda huu huu kuupita.

Ni kitu cha ajabu sana kwamba hata kabla ya kusukwa kwa mfumo wa muda, binadamu wa kwanza waliweza kujua nyakati walizokuwa wakifanya jambo na baada ya jambo hilo kupita kufanywa, lakini hakukuwa na mtu wala kitu chenye kuwaaminisha kuwa huo ndio muda.

Kama binadamu wa kipindi cha kabla ya kuundwa kwa mfumo wa muda na nyakati, waliweza kuishi kwa namna hii ninayoiona ni ya ajabu kwangu na pengine haikuwa ajabu kwao na haikuwafaidisha wala kupatwa na hasara isiyotokana na kuutambua muda kwa wakati huo.

Ni vipi sisi binadamu wa sasa tukiuondoa huu mfumo tambuzi wa muda tuliojitengenezea? Nini kitatuzuia?

Ni madhara ya aina gani tunaweza kuyapata ikiwa wakale hawakuyapata na haikuwanyima dhima ya kuishi bila kuutambua Muda wao?
Kwa mujibu wa Albert Einstein (Relativity Theory) muda ni relative kutokana na frame of refence (hence relativity) na si absolute. Muda ni function ya speed na gravity.

1.Kuuondoa muda kutoka frame yako ya reference inabidi uende kwa spidi ya mwanga katika ombwe
299 792 458 m / s

2. Kitu chochote chenye uzito, hata mdogo kiasi gani, kadiri kinavyozidi kukaribia speed hii, ndivyo uzito wake unavyoongezeka na kukaribia infinity.

3. Hivyo, hakuna kitu chenye uzito, hata mdogo vipi, kinachoweza kufikia spidi ya mwanga katika ombwe 299 792 458 m / s

4. Hivyo, hakuna kitu ambacho kina uzito ambacho kitaweza kuuondoa muda.

5. Kutokea kwa mtazamo wa muale wa mwanga na photon ambayo inakwenda kwa spidi ya mwanga 299 792 458 m / s, muda haupo. Mwanga una experience ulimwengu ambao hauna past wala future, hivyo hauna muda.

Hapa nimeangalia muda kwa relation na speed tu, sijaingia kwenye gravity kubwa kama karibu na black holes.
 
Ni vipi tukisema hakuna kitu kinaitwa muda, bali ni calculations za sisi binadamu kujiwekea taratibu kwaajili ya kuicontroll dunia
Muda unategemea na muangaliaji, kwetu sisi muda upo kwa sababu tuna experience entropy kwa mujibu wa The Second Law of Thermodynamics. Kwa zaidi msome Stephen Hawking katika "A Brief History of Time: From The Big Bang to Black Holes", chapter 9 "The Arrow of Time". (book attached)

Ila, to a ray of light moving at 299 792 458 m / s, muda haupo, kwa maoni yake, photon inatembea bila kutofautisha muda uliopita, uliopo na unaokuja.
 

Attachments

Muda kama tunavyoufahamu ni kiinimacho tu (an illusion). Upo kama haupo. Wakati uliopita, uliopo na ujao vyote ni maono ya binadamu tu ili aweze kuuelewa uwepo wake. Yupo kama hayupo!

Uwepo wa muda unategemea na spidi yako unayosafiri. Ukisafiri kwa kasi sana kukaribia spidi ya mwanga (haiwezekani kwa kitu chenye mass kuifikia kasi ya mwanga) muda unadorora na unakwenda polepole mno kiasi kwamba baada ya muda hutaweza kutofautisha kati ya wakati uliomo, uliopita na ujao. Na ukiwa na bahati mbaya ukavuka event horizon na kudumbukia kwenye black hole basi huko hakuna muda. Ni uwepo tu! Ni milele! Muda haupo!

Mambo haya ni mazito sana na ukiyafikiria kwa kina kichwa kinaweza kupata moto. Hebu jaribu kufikiria. Muda ulianza lini? Nani aliuanzisha? Na kabla ya muda kulikuwa na nini? Muda ni nini?

Ngoja nijipikilishe kiugali hapa nitarudi.

Hebu mkuu nieleweshe ukisafiri wka kasi kwenda wapi? Utashindwa kutofautisha kwa sababu uko speed sana au vipi?

Black hole iko wapi? Kuna mtu amewah kudumbukia huko?

Hizi mambo naonaga kwnye movies za avengers.. hebu nieleweshe tafadhali
 
Muda unategemea na muangaliaji, kwetu sisi muda upo kwa sababu tuna experience entropy kwa mujibu wa The Second Law of Thermodynamics. Kwa zaidi msome Stephen Hawking katika "A Brief History of Time: From The Big Bang to Black Holes", chapter 9 "The Arrow of Time". (book attached)

Ila, to a ray of light moving at 299 792 458 m / s, muda haupo, kwa maoni yake, photon inatembea bila kutofautisha muda uliopita, uliopo na unaokuja.
Mkuu Asante sana kwa maarifa ...
Na vipi kuhusu nyakati
 
Kwa mujibu wa Albert Einstein (Relativity Theory) muda ni relative kutokana na frame of refence (hence relativity) na si absolute. Muda ni function ya speed na gravity.

1.Kuuondoa muda kutoka frame yako ya reference inabidi uende kwa spidi ya mwanga katika ombwe
299 792 458 m / s

2. Kitu chochote chenye uzito, hata mdogo kiasi gani, kadiri kinavyozidi kukaribia speed hii, ndivyo uzito wake unavyoongezeka na kukaribia infinity.

3. Hivyo, hakuna kitu chenye uzito, hata mdogo vipi, kinachoweza kufikia spidi ya mwanga katika ombwe 299 792 458 m / s

4. Hivyo, hakuna kitu ambacho kina uzito ambacho kitaweza kuuondoa muda.

5. Kutokea kwa mtazamo wa muale wa mwanga na photon ambayo inakwenda kwa spidi ya mwanga 299 792 458 m / s, muda haupo. Mwanga una experience ulimwengu ambao hauna past wala future, hivyo hauna muda.

Hapa nimeangalia muda kwa relation na speed tu, sijaingia kwenye gravity kubwa kama karibu na black holes.
Time travel nayo inahusiano gani na real life ya sasa kwakuwa wanasema unaweza kurudi nyuma ama kwenda mbele
 
Time travel nayo inahusiano gani na real life ya sasa kwakuwa wanasema unaweza kurudi nyuma ama kwenda mbele
This is the science on the subject. No conjecture, no science fiction, no speculation. These are scientifically established facts per Relativity.

Ukitaka kuelewa time travel kwa mujibu wa sayansi yetu ya sasa, itabidi uanze na Relativity ya Einstein.

Kwa mujibu wa Relativity ya Einstein.

1. Time is relative, not absolute.
2. Time is relative to space (the observer), speed and gravity.
3. For an object with mass, however small, per relativity, going backwards in time is impossible. Because that will involve going faster than the speed of light. Approaching the speed of light for any massive object means approaching infinity mass, which will require infinity energy.

So first you need to stop time before going back in time. Stopping time = going at the speed of light. Approaching the speed of light for any massive object equals approaching infinity mass. As you approach infinity mass, moving even at very small speed will require infinity energy. So, time travel backwards is impossible because it needs infinite energy.

4. Time travel to the future is easire by using time dilation. If you have twins whose birthdate is the same day, you take Doto and put him in a spaceship that goes at 80% the speed of light to go to Proxima Centauri, the nearest star, Doto could spend 12 years going to Proxima Centauri and back to earth, only to find that the 12 years Doto spent on the spaceship are equal to 120 years on earth because of time dilation (figures not to scale)

If Kulwa and Doto were both 20 years old today 2022 when Doto left earth, Doto would return to earth at 32 years old, only to find earth in the year 2122. To Doto, 12 years have passed, to earth, 100 years have passed.

Here is a chart of time dilation per percent of the speed of light

2675.jpg


Here is a link to the page Time Dilation at Low Speeds - Relativity when flying
 
Time exists only into this physical world.

Kiuhalisia hakuna maisha bila muda, na tulipo hapa kila kitu kimeisha, yaan namaanisha maisha haya tunayoyaish leo hii, tupo ktk Past, na roho zetu zilishayapita haya zipo ktk Future, kama nilivyosema muda una exist ktk ulimwengu huu wa mwili, na ktk Roho(unseen world) huko hakuna mpaka wa muda hivyo Roho zinauwezo wa kufanya tendo ambalo kimwil lingefanywa kwa maelfu ya miaka huko rohon likafanyika within the second(japo huko hakuna elimu ya muda hivyo huwez pima tukio kwa muda).

Ushahidi ni kwamba hata ndoto zako zinaproof sometime ukaota jambo fulan ambalo linakuja kukutokea miaka ya mbele, hiyo yote huwa ni taswira za matukio iliyopitia Roho yako na kuyaleta matukio hayo kwa nafsi yako kupitia ndoto ili yaendane na uelewa ama sheria za ulimwengu wa mwili.

Hata hao wanaofuatilia mambo ya time travel wajue kuwa haiwezekan na haitowai kuwezekana, maana dunian ukitaka kutravel in time unatakiwa uwe na mwili usioshikwa ama unaotawaliwa na sheria za muda, zaid unaweza travel in time kiroho tu.

Muda ukisimama basi hata maisha yatasimama.

Na ukitaka uusimamishe muda basi utatakiwa usimamishe saa kuu za dunia zinazotawala muda ambazo ni JUA na MWEZI,

Na ndiomaana huwa tunapinga kuwa hakuna pua ya mtu iliyowai kanyaga mwezini wala hakuna atakayeweza fika mwezini, kwakuwa mwezi ndio main controller wa muda, hivyo basi ukianza kuufuata ni sawa na kusogeza mbele muda wa maisha yako na kufikia limit ya maisha yako hivyo utafika ukiwa maiti mwezin ama ufike ukiwa mzee tofaut na ulivyoondoka dunian.

Muda hauwezi simama mpaka miili yetu ama maisha ya kidunia yatakapo reach point ya end of destination na kufikia ile level ya Roho zetu ziliko ambako hakuna sheria za muda na huko kila kitu kimekwisha.

Niishie hapa nisije wachanganya.
Sijamaliza yote ila all in all time is illusion
 
This is the science on the subject. No conjecture, no science fiction, no speculation. These are scientifically established facts per Relativity.

Ukitaka kuelewa time travel kwa mujibu wa sayansi yetu ya sasa, itabidi uanze na Relativity ya Einstein.

Kwa mujibu wa Relativity ya Einstein.

1. Time is relative, not absolute.
2. Time is relative to space (the observer), speed and gravity.
3. For an object with mass, however small, per relativity, going backwards in time is impossible. Because that will involve going faster than the speed of light. Approaching the speed of light for any massive object means approaching infinity mass, which will require infinity energy.

So first you need to stop time before going back in time. Stopping time = going at the speed of light. Approaching the speed of light for any massive object equals approaching infinity mass. As you approach infinity mass, moving even at very small speed will require infinity energy. So, time travel backwards is impossible because it needs infinite energy.

4. Time travel to the future is easire by using time dilation. If you have twins whose birthdate is the same day, you take Doto and put him in a spaceship that goes at 80% the speed of light to go to Proxima Centauri, the nearest star, Doto could spend 12 years going to Proxima Centauri and back to earth, only to find that the 12 years Doto spent on the spaceship are equal to 120 years on earth because of time dilation (figures not to scale)

If Kulwa and Doto were both 20 years old today 2022 when Doto left earth, Doto would return to earth at 32 years old, only to find earth in the year 2122. To Doto, 12 years have passed, to earth, 100 years have passed.

Here is a chart of time dilation per percent of the speed of light

2675.jpg


Here is a link to the page Time Dilation at Low Speeds - Relativity when flying
Haha nimekubaliana na wewe mkuu,huo mfano uliotumia nimfano hai
 
This is the science on the subject. No conjecture, no science fiction, no speculation. These are scientifically established facts per Relativity.

Ukitaka kuelewa time travel kwa mujibu wa sayansi yetu ya sasa, itabidi uanze na Relativity ya Einstein.

Kwa mujibu wa Relativity ya Einstein.

1. Time is relative, not absolute.
2. Time is relative to space (the observer), speed and gravity.
3. For an object with mass, however small, per relativity, going backwards in time is impossible. Because that will involve going faster than the speed of light. Approaching the speed of light for any massive object means approaching infinity mass, which will require infinity energy.

So first you need to stop time before going back in time. Stopping time = going at the speed of light. Approaching the speed of light for any massive object equals approaching infinity mass. As you approach infinity mass, moving even at very small speed will require infinity energy. So, time travel backwards is impossible because it needs infinite energy
Mkuu ulishawahi kuitazama series ya The flash, kuna namna waliifanya kuonyesha uwezekano wa kurudi nyuma na iliwezekana...
 
hakuna kitu kina itwa future , future ni illusion tu , mambo wakati sahihi ni sasa , ukishasema nitanunua gari tayari umetengeneza illusion kwenye kichwa chako sio reality , ninanunua gari ndio jambo la kwel fture nikuudanganya ubongo wako tu .
 
hakuna kitu kina itwa future , future ni illusion tu , mambo wakati sahihi ni sasa , ukishasema nitanunua gari tayari umetengeneza illusion kwenye kichwa chako sio reality , ninanunua gari ndio jambo la kwel fture nikuudanganya ubongo wako tu .
Wakati ujao ni wakati baada ya zamani na sasa. Kufika kwake is considered inevitable due to the existence of time na sheria za kifizikia.
 
Back
Top Bottom