Tukio la mauaji ya Polisi eneo la Selander si bahati mbaya

rikiboy

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
21,494
41,916
Leo kumetokea tukio baya sana kwa Usalama wa nchi yetu labda ni tukio baya sana kuwahi kushuhudiwa toka matukio ya enzi za Mauaji ya KIBITI yaliyolikumba nchi yetu enzi zile za Rais Magufuli sijui nini maana yake lakini Hii sio bahati mbaya.. yes sio bahati mbaya! Habari za kuuliwa polisi watatu haiwezi kuwa jambo ambalo limetokea bila mpango wala plan yoyote hasa Ukizingatia repoti inasema jamaa alikuja na BASTOLA tu then aliua mapolisi wetu na kukusanya zile Bunduki alizokuwa nazo na kuanza kushambulia askari wengine.

Na lazimika kusema kuwa Raia hawakuwa Priority kabisa ya yule jamaa maana wakati ameshapokonya silaha 2 tayari kulikuwa na Bus lenye abiria kibao na wengine wachache wakitembea kwa miguu sitaki kumuhusisha na Ugaidi wala tukio hili na Dini yake lakini hii ni Msg mbaya sana iliyotumwa kwa usalama wa nchi hii. Sasa kuna haja ya askari wetu kuwa makini zaidi hasa wanapokuwa lindo yani hii imekuwa Vita sasa yule jamaa naamini zile bunduki ilikuwa ndio plan yake but Why aliishia kuuliwa tu kwa majibizano ya risasi na polisi?

Imebaki kuwa fumbo ambalo ipo siku linaweza patikana jibu pia Akili inanituma lengo lake lilikuwa ni zile silaha lakini mpango uliopangwa baada ya kupora zile silaha uliharibika ndio maana hakuwa na namna zaidi ya kuanza kufight na polisi so its like a deal went wrong kwenye plan flani ambayo hakuna aneijua labda yeye Angekamatwa akiwa hai angeweza kusema. Lakini pia ubalozi wa ufaransa inawezekana ulikuwa moja ya target yote haya yanabaki kuwa maswali yasiyokuwa na Majibu mpaka pale uchunguzi wa kina utakapofanyika kama ule uliogundua Majambazi wa Mapango ya amboni ambapo ilianza kama movie.

Ilikuwa sahihi kuuliwa maana mtu aliekuja na bastola lakini akakusanya Bunduki 2 zenye risasi unaanzaje kuwaza kumshika bila Kumdhuru kwa risasi? Pongeza nyingi ziende kwa Jeshi letu kwa kumdhibiti yule mtu lakini Kama Sehemu salama Maeneo yale ya Ubalozi wa Ufaransa limetokea jambo baya kama lile na kudumu muda mrefu vile pamoja na usalama uliopo yale maeneo bhasi polisi wetu washtuke sana na kujipanga upya.

20210825_182152.jpg
 
Serikali ijitafakari sana utendaji wake...kwanini mtu huyo ameonekana kujiamini kabisa huku risasi zinampita pembeni...kama sio ishara mbaya kwa uslama wa nchi inamaana kuna jambo serikali imemtenda hadi kufikia hatua hiyo na inawezekana wapo wengi mioyo yao imeshapata ganzi kutokana na yale wanayotendewa lakini wamekosa upenyo MUNGU ATUSAIDIE
 
Jamaa ana kibaraka sheha, inawezekana wote walikua kwenye misheni moja ila kila mtu na majukumu yake. Pia kama ilikua ni misheni hapo kulikua na wenzao maeneo ya karibu.
 
Leo kumetokea tukio baya sana kwa Usalama wa nchi yetu labda ni tukio baya sana kuwahi kushuhudiwa toka matukio ya enzi za Mauaji ya KIBITI yaliyolikumba nchi yetu enzi zile za Rais Magufuli sijui nini maana yake lakini Hii sio bahati mbaya.. yes sio bahati mbaya! Habari za kuuliwa polisi watatu haiwezi kuwa jambo ambalo limetokea bila mpango wala plan yoyote hasa Ukizingatia repoti inasema jamaa alikuja na BASTOLA tu then aliua mapolisi wetu na kukusanya zile Bunduki alizokuwa nazo na kuanza kushambulia askari wengine.

Na lazimika kusema kuwa Raia hawakuwa Priority kabisa ya yule jamaa maana wakati ameshapokonya silaha 2 tayari kulikuwa na Bus lenye abiria kibao na wengine wachache wakitembea kwa miguu sitaki kumuhusisha na Ugaidi wala tukio hili na Dini yake lakini hii ni Msg mbaya sana iliyotumwa kwa usalama wa nchi hii. Sasa kuna haja ya askari wetu kuwa makini zaidi hasa wanapokuwa lindo yani hii imekuwa Vita sasa yule jamaa naamini zile bunduki ilikuwa ndio plan yake but Why aliishia kuuliwa tu kwa majibizano ya risasi na polisi?

Imebaki kuwa fumbo ambalo ipo siku linaweza patikana jibu pia Akili inanituma lengo lake lilikuwa ni zile silaha lakini mpango uliopangwa baada ya kupora zile silaha uliharibika ndio maana hakuwa na namna zaidi ya kuanza kufight na polisi so its like a deal went wrong kwenye plan flani ambayo hakuna aneijua labda yeye Angekamatwa akiwa hai angeweza kusema. Lakini pia ubalozi wa ufaransa inawezekana ulikuwa moja ya target yote haya yanabaki kuwa maswali yasiyokuwa na Majibu mpaka pale uchunguzi wa kina utakapofanyika kama ule uliogundua Majambazi wa Mapango ya amboni ambapo ilianza kama movie.

Ilikuwa sahihi kuuliwa maana mtu aliekuja na bastola lakini akakusanya Bunduki 2 zenye risasi unaanzaje kuwaza kumshika bila Kumdhuru kwa risasi? Pongeza nyingi ziende kwa Jeshi letu kwa kumdhibiti yule mtu lakini Kama Sehemu salama Maeneo yale ya Ubalozi wa Ufaransa limetokea jambo baya kama lile na kudumu muda mrefu vile pamoja na usalama uliopo yale maeneo bhasi polisi wetu washtuke sana na kujipanga upya.

View attachment 1908174

jamaa alikuwa anafyatua risasi huku akisema anahasira na polis
 
Leo kumetokea tukio baya sana kwa Usalama wa nchi yetu labda ni tukio baya sana kuwahi kushuhudiwa toka matukio ya enzi za Mauaji ya KIBITI yaliyolikumba nchi yetu enzi zile za Rais Magufuli sijui nini maana yake lakini Hii sio bahati mbaya.. yes sio bahati mbaya! Habari za kuuliwa polisi watatu haiwezi kuwa jambo ambalo limetokea bila mpango wala plan yoyote hasa Ukizingatia repoti inasema jamaa alikuja na BASTOLA tu then aliua mapolisi wetu na kukusanya zile Bunduki alizokuwa nazo na kuanza kushambulia askari wengine.

Na lazimika kusema kuwa Raia hawakuwa Priority kabisa ya yule jamaa maana wakati ameshapokonya silaha 2 tayari kulikuwa na Bus lenye abiria kibao na wengine wachache wakitembea kwa miguu sitaki kumuhusisha na Ugaidi wala tukio hili na Dini yake lakini hii ni Msg mbaya sana iliyotumwa kwa usalama wa nchi hii. Sasa kuna haja ya askari wetu kuwa makini zaidi hasa wanapokuwa lindo yani hii imekuwa Vita sasa yule jamaa naamini zile bunduki ilikuwa ndio plan yake but Why aliishia kuuliwa tu kwa majibizano ya risasi na polisi?

Imebaki kuwa fumbo ambalo ipo siku linaweza patikana jibu pia Akili inanituma lengo lake lilikuwa ni zile silaha lakini mpango uliopangwa baada ya kupora zile silaha uliharibika ndio maana hakuwa na namna zaidi ya kuanza kufight na polisi so its like a deal went wrong kwenye plan flani ambayo hakuna aneijua labda yeye Angekamatwa akiwa hai angeweza kusema. Lakini pia ubalozi wa ufaransa inawezekana ulikuwa moja ya target yote haya yanabaki kuwa maswali yasiyokuwa na Majibu mpaka pale uchunguzi wa kina utakapofanyika kama ule uliogundua Majambazi wa Mapango ya amboni ambapo ilianza kama movie.

Ilikuwa sahihi kuuliwa maana mtu aliekuja na bastola lakini akakusanya Bunduki 2 zenye risasi unaanzaje kuwaza kumshika bila Kumdhuru kwa risasi? Pongeza nyingi ziende kwa Jeshi letu kwa kumdhibiti yule mtu lakini Kama Sehemu salama Maeneo yale ya Ubalozi wa Ufaransa limetokea jambo baya kama lile na kudumu muda mrefu vile pamoja na usalama uliopo yale maeneo bhasi polisi wetu washtuke sana na kujipanga upya.

View attachment 1908174
JamiiForums-2088709850.jpg
 
Leo kumetokea tukio baya sana kwa Usalama wa nchi yetu labda ni tukio baya sana kuwahi kushuhudiwa toka matukio ya enzi za Mauaji ya KIBITI yaliyolikumba nchi yetu enzi zile za Rais Magufuli sijui nini maana yake lakini Hii sio bahati mbaya.. yes sio bahati mbaya! Habari za kuuliwa polisi watatu haiwezi kuwa jambo ambalo limetokea bila mpango wala plan yoyote hasa Ukizingatia repoti inasema jamaa alikuja na BASTOLA tu then aliua mapolisi wetu na kukusanya zile Bunduki alizokuwa nazo na kuanza kushambulia askari wengine.

Na lazimika kusema kuwa Raia hawakuwa Priority kabisa ya yule jamaa maana wakati ameshapokonya silaha 2 tayari kulikuwa na Bus lenye abiria kibao na wengine wachache wakitembea kwa miguu sitaki kumuhusisha na Ugaidi wala tukio hili na Dini yake lakini hii ni Msg mbaya sana iliyotumwa kwa usalama wa nchi hii. Sasa kuna haja ya askari wetu kuwa makini zaidi hasa wanapokuwa lindo yani hii imekuwa Vita sasa yule jamaa naamini zile bunduki ilikuwa ndio plan yake but Why aliishia kuuliwa tu kwa majibizano ya risasi na polisi?

Imebaki kuwa fumbo ambalo ipo siku linaweza patikana jibu pia Akili inanituma lengo lake lilikuwa ni zile silaha lakini mpango uliopangwa baada ya kupora zile silaha uliharibika ndio maana hakuwa na namna zaidi ya kuanza kufight na polisi so its like a deal went wrong kwenye plan flani ambayo hakuna aneijua labda yeye Angekamatwa akiwa hai angeweza kusema. Lakini pia ubalozi wa ufaransa inawezekana ulikuwa moja ya target yote haya yanabaki kuwa maswali yasiyokuwa na Majibu mpaka pale uchunguzi wa kina utakapofanyika kama ule uliogundua Majambazi wa Mapango ya amboni ambapo ilianza kama movie.

Ilikuwa sahihi kuuliwa maana mtu aliekuja na bastola lakini akakusanya Bunduki 2 zenye risasi unaanzaje kuwaza kumshika bila Kumdhuru kwa risasi? Pongeza nyingi ziende kwa Jeshi letu kwa kumdhibiti yule mtu lakini Kama Sehemu salama Maeneo yale ya Ubalozi wa Ufaransa limetokea jambo baya kama lile na kudumu muda mrefu vile pamoja na usalama uliopo yale maeneo bhasi polisi wetu washtuke sana na kujipanga upya.

View attachment 1908174

Pole. Sijaona Sababu ya pongezi. Karne ya 21 unasemaje ungewezaje kumtuliza jamaa bila kumdhuru. Unakosa maturity na ukubali kwamba security state ya nchi hii , pamoja na TOZO zote haina investment yoyote ya maana against all odds.

USA walimuua yule mkuu wa Majeshi wa Iran huku watu wakiwa ndani ya chumba chao. Kulikuwa hakuna any physical contact, na Kama wangemtaka hai wangempata.

Kwa state inayojielewa jamaa angetulizwa bila kuuliwa ili kupata majibu zaidi. Vipi kama anatimu yake inasikilizia upepo kwanza ? Unawezaa kudhani tumemuua kazi imeisha, kumbe Kazi ndio inaanza.

Kumuua yule jamaa ni worst thing na ukosefu wa technology bora ya kuzuia madhara bila ya kutoa uhai pamoja na technologies kuhamia kwenye drones . Drones za sasa for security state zinatoa mpaka gesi ya usingizi.

Acha kutetea upumbavu, nchi hii inaendeshwa na MABOGUS, and one day itatucost, na utaacha upumbavu wako wa kusema pongezi.

Akili zimelala kama ugali, mnachojua ni fake cases za kubambikia watu kesi

Cunts
 
Pole. Sijaona Sababu ya pongezi. Karne ya 21 unasemaje ungewezaje kumtuliza jamaa bila kumdhuru. Unakosa maturity na ukubali kwamba security state ya nchi hii , pamoja na TOZO zote haina investment yoyote ya maana against all odds.

USA walimuua yule mkuu wa Majeshi wa Iran huku watu wakiwa ndani ya chumba chao. Kulikuwa hakuna any physical contact, na Kama wangemtaka hai wangempata.

Kwa state inayojielewa jamaa angetulizwa bila kuuliwa ili kupata majibu zaidi. Vipi kama anatimu yake inasikilizia upepo kwanza ? Unawezaa kudhani tumemuua kazi imeisha, kumbe Kazi ndio inaanza.

Kumuua yule jamaa ni worst thing na ukosefu wa technology bora ya kuzuia madhara bila ya kutoa uhai pamoja na technologies kuhamia kwenye drones . Drones za sasa for security state zinatoa mpaka gesi ya usingizi.

Acha kutetea upumbavu, nchi hii inaendeshwa na MABOGUS, and one day itatucost, na utaacha upumbavu wako wa kusema pongezi.

Akili zimelala kama ugali, mnachojua ni fake cases za kubambikia watu kesi

Cunts
Wewe kwa akili yako kama Mtu aliweza kupokonya Polisi wawili bundukina muda ule anazo zote mbili vipi angeanza kumiminia raia risasi???? Sijawahi sikia polisi sehemu yoyote duniani wanakomaa kutaka kumshika mtu akiwa hai wakati wanaweza kurisk na kusababisha maafa zaidi... Shoot to kill ipo na sababu zake Risk ikizidi benefit hakuna maana tena hiyo Network yake itashikwa tuu labda kama alikuwa hana back up.
 
Back
Top Bottom