Tukio la kusikitisha Arusha leo

Tukio la kusikitisha Arusha leo

Inasikitisha but nikwamba mgonjwa mwenyewe niwakisomali na alishadanja njiani so nesi akaona hamna haja yakwenda tena KCMC ndo akawapa reason yakua oxygen imeisha .
 
Hata hivyo magamba wanahusika tu maana serikali wanayo wao na vyombo vyote vya usimamizi wa kama ni hospitali, shule, kila kitu. System ilio feli ni ya magamba. To me magamba mnahusika tu.
Umeona hiyo niliyo highlight?Those are Key words, no discussions
 
Dah, Pole kwa walipatwa na msiba wa kusababishiwa. kweli inatia hasira sana, kwanini wasiwe na utaratibu wa kubeba mtungi wa ziada? hakuna utaratibu wa kuhakiki vifaa vya kuokolea maisha kabla ya safari? Selian ni jengo tuu, huduma sifuri
 
Nurse ana uzembe gani..kwan yy ndo anatoa hela ya kununua oxygen....
Nani atapelekwa mahakamani kwa Uzembe? umeshawahi kusikia huu msemo CYA (cover your ass) It is potential liability to loose your license. The nurse will fall at this "malpractise" which can go up to involuntary manslaughter charge which is felony. The nurse will spend some yrs in prison
 
Unachojaribu ni kulalama kwa propaganda dhidi ya CCM ambazo hazina hata mashiko.

Hivi unaijua supervisory na regulation iliyopo kati ya Selian hospital inayomilikiwa na KKKT na wajibu wa msingi wa Selian hospital ni upi.

Jenga hoja za maana kuliko kuanza kuficha uozo kwa manufaa yako au ya hospitali kisiasa.

We're talking someone died possibly, for negligence.

Kuna familia kwa sasa ina omboleza huku wewe ukilalama bila underlying support for argument.


Inaonekana hata watoto wako wakitoroka shule utasema huhusiki kwa sababu hukubeba mimba na wala siye wewe aliyekwenda labor kuwazaa.

Huwezi kuitetea ccm kwa uongozi mbovu na mfumo usiofaa unaoendelea kumaliza watanzania kwa uzembe wa kijinga. Kama huwezi kupata link kati ya uwajibikaji na huduma za ovyo zinazotolewa nchini na wajibu wa serikali kulinda na kusimamia maslahi ya wa tz unatatizo linalohitaji attention nyingine na si hapa jf..

Solution ya haya yote ni kuindoa ccm madarakni. hata kama hamtaki mtaondoka tu. Ujinga ujinga wenu umetusababishia madhara mengi sana wa Tanzania. Na sasa umedhihirisha namna mlvyo na uelewa shallow kiasi hata wajibu wenu hamjui mnabaki kuiba raslimali za taifa tu. Ujinga mtupu.
 
Ndugu wa marehemu ni kati ya kundi kubwa la wajinga wenye kuweka lawama mbele kuliko uhalisia...
Suala la oksijeni kupungua lipo nje ya uwezo wa hao wauguzi na hata dereva wa gari husika...
Swali la kwanza walitakiwa wajiulize, iweje hapo Arusha hakuna hospitali yenye hadhi kama KCMC maana ingalikuwepo hospitali ya hadhi hiyo basi huyo marehemu pengine angelikuwa hai...
Sasa mawazo mabovu kama haya ndio mnasema watanzania wameeamka? Thubutu! Hata wazee wetu wa enzi za mawe walikuwa na upeo mpana kuliko huyu mchangiaji. All in all...Tanzania elimu yetu kuna sehemu ilitoka kwenye ''njia yake'' na matokeo yake watu wengi sana wamehitimu bila kuelimika! Bila kuifanyia complete transformation hatutafika mahali!
 
Kwani nurse anatengeneza oksijeni. Amekabidhiwa mgonjwa kwenye gari na mtungi wa gesi sasa kama imeisha angerefill kwa kujambia?
Kwani Police anatengeneza Pingu, amekabidhiwa mtuhumiwa ametoroka sasa angefanya nini? Kwanini mwanafunzi kashindwa kufanya mtihani, alikuwa hana pen, kwani mwanafunzi anatengeneza pen? do you see how stupid do I sound like?
 
Marehemu alikuwa anaitwa nani vile? Kila mismanahement tunayoipata hospitali tukiamua kuvunja magari na kuchoma moto hospitali sijui tutabaki na nini. Wasijali, aliejenga mara ya kwanza atajenga upya.

Ni uzembe wa nesi binafsi kwa sababu gauge ya gas cylinder inaonyesha kama ni ya kutegemewa ama la. Poleni wafiwa. Nawatakia maombolezo ya hekima
 
inabidi kiundwe na kiwepo muda wote Kitengo Maalumu na Huru(KMH) kitakachokuwa kinakagua uimara wa vifaa vinavyotumika ma-hospitalini kwa Afya za wananchi, vinginevyo kama hayo yatakua yanatokea na kuyaona kama ajabu tu uku roho za watu zikiendelea kuteketea kiuzembe uzembe...
 
Matibabu sio fani ya kubahatisha kama siasa. Alipaswa kukagua gari na gauge ya mtungi wa gesi ikionyesha mshale kwenye rwd unapaswa kubadilishwa mara moja.
Kwani nurse anatengeneza oksijeni. Amekabidhiwa mgonjwa kwenye gari na mtungi wa gesi sasa kama imeisha angerefill kwa kujambia?
 
that's very sad to the family. Poleni sana. RIP marehemu
 
duh!inasikitisha sana!
mimi naona kuna shida kwa hao manesi,uongozi wa hospitali,matron/patron wa hospitali,daktari aliyetoa rufaa,maafisa ugavi wa kituo na ndugu wa marehemu.

kwanza ni upuuzi kuandamana na ndugu kwenye ambulance!
pili kwa nini daktari anatoa rufaa bila kuhakikisha mgonjwa yuko stable?
tatu ndugu wanaleta jazba za kipumbavu kwani kuvunja ambulance kutamrudisha ndugu yenu?
 
Inaonekana hata watoto wako wakitoroka shule utasema huhusiki kwa sababu hukubeba mimba na wala siye wewe aliyekwenda labor kuwazaa.

Huwezi kuitetea ccm kwa uongozi mbovu na mfumo usiofaa unaoendelea kumaliza watanzania kwa uzembe wa kijinga. Kama huwezi kupata link kati ya uwajibikaji na huduma za ovyo zinazotolewa nchini na wajibu wa serikali kulinda na kusimamia maslahi ya wa tz unatatizo linalohitaji attention nyingine na si hapa jf..

Solution ya haya yote ni kuindoa ccm madarakni. hata kama hamtaki mtaondoka tu. Ujinga ujinga wenu umetusababishia madhara mengi sana wa Tanzania. Na sasa umedhihirisha namna mlvyo na uelewa shallow kiasi hata wajibu wenu hamjui mnabaki kuiba raslimali za taifa tu. Ujinga mtupu.
Tatizo la watu kama wewe unamjifanya kujua legal flamework, procedures and duties za kila sehemu wakati hujui lolote.

Jibu hoja siyo kulalama na uhalo mtupu.

Hoja imeletwa ni mtungi kuishiwa na gas wakati mgonjwa akipelekwa kupata huduma zaidi. Wewe unakuja na majibu yanayojengwa na siasa za kukalili ambazo hazina hata basis.

This is the question. Unaijua supervisory na regulations zilizopo kati ya Selian hospital inayomilikiwa na KKKT na serikali. Upi wajibu wa msingi wa Selian hospital ni ipi kazi ya govenment?. Nini wajibu wa msingi wa Selian hospital kama hospital kwa wagonjwa na nini wajibu wa Nesi kwa mgonjwa?

Mihemko uako inajengwa kiitikadi haiwezi kukusaidia hapa. Sheria hazina siasa kinyume cha hivyo, you're just yawning for nothing if not sheepish.
 
R I P Ahmad Bawazir kweli inasikitisha alikuwa rafiki yangu sana mi nilipata habari tayari polisi walikuwa wamewatawanya hata mimi ningeenda choma ALMC ni nzuri kwa majengo huduma ni mbovu sana. Sitawasahau baba mdogo wangu alifia pale kwa uzembe afu manesi walikimbia eti.wanaogopa maiti. Washkaji naowajua waliofia Selian kwa uzembe ni ka watano hivi ni juzi tu tulimzika Wileee simply bcoz hakupata huduma bora Kwa arusha hii ni kawaida wana huduma mbovu sana.. Bora tu sasa shida zetu tuzipeleke Agha Khan dispensary Selian ishakuwa machinjio
 
Back
Top Bottom