Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,311
- 108,359
Sasa mawazo mabovu kama haya ndio mnasema watanzania wameeamka? Thubutu! Hata wazee wetu wa enzi za mawe walikuwa na upeo mpana kuliko huyu mchangiaji. All in all...Tanzania elimu yetu kuna sehemu ilitoka kwenye ''njia yake'' na matokeo yake watu wengi sana wamehitimu bila kuelimika! Bila kuifanyia complete transformation hatutafika mahali!
Soma hapa chini...
Kwani nurse anatengeneza oksijeni. Amekabidhiwa mgonjwa kwenye gari na mtungi wa gesi sasa kama imeisha angerefill kwa kujambia?