Tukio la kusikitisha Arusha leo

Tukio la kusikitisha Arusha leo

Chini ya ccm,watanzania wengi wataendelea kufa kwa kukosa huduma bora ya matibabu
 
Ina maana huo mtungi wa kuhifadhia oxygen haina guage ya kuonyesha oxygen ipo kiasi gani?
 
Chagua CCM,
Chagua Matatizo!!

hospitali ya kkkt hapo ccm imekujaje?acha uzezeta unaonyesha kabisa umelewa pombe inaitwa ccm.sometimes mnawapandisha ccm juu badala ya kuwashusha!!au we ni ccm unajaribu kuipandisha?coz tabia hizo huwa za ccm kila janga kusingizia cdm sasa sidhani kama imekuwa the opposite.
 
Kwa taarifa yako neno mjonga humaanisha mtu asiye na elimu au uelewa wa jambo fulani...
Bado narudia tena kuandika kuwa hao jamaa walikuwa ni wajinga na ujinga wao ndio uliowapelekea kufanya hayo waliyofanya...
Aliyekuwa na mgonjwa ndani ya Ambulance kama inavyoelezwa ni muuguzi na sio daktari hivyo suala la kuangalia kiasi cha gas kama inatosheleza au lah hilo halikuwa jukumu lake...
Unaposema huyo muuguzi ni jukumu lake kuhakikiki vifaa alivyopewa ,je jukumu lake pia lilikuwa ni kuhakiki mechanics za gari? au kuhakiki kuwa hawakutani na vikwazo vya barabarani? au vikwazo vinginevyo?
Hebu ondoka ndani ya boksi na ufikirie nje kidogo...Vipi kama pale arusha kungekuwa na hospitali ya rufaa yenye vifaa kama KCMC unadhani haya yangetokea??
Hivi unajua umbali wa kutoka kule Seriani hadi kufika KCMC??

Huwezi kumuita aliyefiwa mjinga!
Na walichikifanya maamuzi ambayo hufanywa kwa hasira za kuondokewa na mpendwa wao.
Na kusema suala la oxygen lkupungua liko nje ya muhudumu ! Ni point mbovu kabisa na muhudumu anhusika asilimia 100%.
Wewe kama muhudumu unapewa mgonjwa kupeleka masafa ya mbali. Ni wajibu wako kuhakikisha vifaa vyote ulipewa vitakufikisha huko uendako na kama huna oxygen ya kutosha wajibu wako ni kukataa kumchukua mgonjwa mpaka upewe kila kilicho muhimu.
Sasa kwa kuogopa kutia mchanga unga wake (kibarua) matokeo yake ameua!
Tena ana bahati yuko bongo ambako rushwa imetawala huyo nchi za haki zote au Europe hio ni manslaughter. Huyo nurse na boss wake na doctor aliye saini transfer wote ni kifungo cha miaka mingi mno.
Thamani ya binaadamu ni ndogo sana tz.
Wala msilete siasa kwenye hili janga.
 
Hacheni siasa kwenye hili swala, nyie vipi?!!
 
hao ndugu wa marehemu wanatkiwa wakanyee debe kwa hatua waliyochukua si yakiugwana kuharibu ambulance then wanataka kwenda kuchoma hospital. sijambo la kuvumilia hata kidogo.
 
Watu bila kuikashifu CCM hawafurahi, matatizo ya wengine yanabebeshwa mtu mwingine.

ccm ndo chanzo cha kila ovu hapa tz. hata kibaka akikupora ukichunguza sana utagundua sorce ni ccm....yani ccm ni matatizo kwawatanzania
 
Hivi mitungi ya oksijeni ni kama ya kwetu ya kupikia ambayo haionyeshi kiasi gani cha gesi kilichobaki? Hiyo hospitali yenye ambulance ilitakiwa iwe na mtu anayecheki kama vitu vyote viko sawa kila inapoanza shift mpya....
 
nilikuwa hapo seliani hospital mwaka jana namuuguza mtoto nikiwa hapo nje mida ya sa tatu kukawa na ubishani wa hatuondoki bila cash nikasogea karibu na nikamuona kijana ameumia sana yuko ndani ya ambulance na amewekewa oxigen. ndugu wakajichanga wakalipa 150000. ambulance ikaondoka na nesi dereva na kijana mmoja baada ka ya dk. 25. ile ambulance ikarudi nikamuuliza yule dereva inamaana mmeshamfikisha na kurudi akanijibu hapana ila oxigen imewaishia walipofika usa river . wakati yule nesi ameenda ndani yule mgonjwa akafariki dunia live nikiwa naongea na yule dereva ikumbukwa wakati huo wale ndugu waliochanga pesa walikuwa wameshaondoka.....nilisikitika sana so kwa hili la leo wala siishangai seliani .......
 
Huyo nesi anaingiaje kwenye gari na kwenda na mgonjwa bila kukagua kama hiyo oxygn inatosha au iko nusu?ina maana kwenye gari walikuwa hawana akiba?wakulaumiwa hapo ni uongozi na nilichogundua hapa nchini sasa watu wanafanya kazi kwa mazoea hawako serios tena kama zamani,wangechoma kabisa hiyo gari
 
Hao ndugu wa marehemu ni wakuburuzwa mahakamani mara moja,kitendo cha kuishambulia ambulance si cha kiungwana napendekeza jeshi la polisi likishirikiana na nurse au dereva kwenda kuwatambua hao wahuni kwenye matanga ili hatua kali zichukuliwe,
utakuwa na atatizo ya akli
 
Last year i lost my friend on the same incident but while in ICU!!!
NEVER FORGET SELIAN
 
Sasa unataka CCM izuie kifo cha mtu hata kama ahadi imefika? basi tungeanza na Nyerere.

CCM ni chanzo cha huduma mbovu Mt meru hospital, ndiyo maana wavuja jasho wanahangaika huko na huko!

Umesahau na ishu ya Ambisile Mwasapila!

Unahitaji degree kulijua hili?
 
Back
Top Bottom