Sio kweli hospitali yenye vifaa vya kisasa na wataalam wenye viwango labda MOI ambayo nayo sio ya Serikali.
Nikiwa chuo Muhimbili mwaka 2007 mtoto wa kike wa miaka nane alikufa mbele ya lecturer mwenye PHD, madaktari na wanafunzi tukishuhudia kwa kukosa Oxygen, baadae mtungi uliletwa lakini ulikua wa kizamani ulikua unaitaji "spaner" ya kufungulia ili Oxygen itoke "spaner" haikuwepo mtungi haukufunguliwa na mtoto alifariki!
Sasa nafanya kazi wilayani sijawahi kuuona mtungi wa oxygen wala kusikia oxygen imeisha wanaenda kujaza!
Hii ndio TZ zaidi ya uijuavyo km unabisha pata ajali/ugua (emergency) halafu upelekwe hospitali ya serikali!
Nikiwa chuo Muhimbili mwaka 2007 mtoto wa kike wa miaka nane alikufa mbele ya lecturer mwenye PHD, madaktari na wanafunzi tukishuhudia kwa kukosa Oxygen, baadae mtungi uliletwa lakini ulikua wa kizamani ulikua unaitaji "spaner" ya kufungulia ili Oxygen itoke "spaner" haikuwepo mtungi haukufunguliwa na mtoto alifariki!
Sasa nafanya kazi wilayani sijawahi kuuona mtungi wa oxygen wala kusikia oxygen imeisha wanaenda kujaza!
Hii ndio TZ zaidi ya uijuavyo km unabisha pata ajali/ugua (emergency) halafu upelekwe hospitali ya serikali!