acha ujinga wa kugombanisha dada wa kazi na boss wake. Hiyo ni science ya kawaida tu.Ila kuna wadada wa kazi wengine wana mambo ya kishirikina sana ,endelea kufanya uchunguzi utagundua tu kama kuna nguvu za giza au la...
Njiani kwenda Zanzibar[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1676270
Nini tena, ujue namfuatilia yule boy nataka nimbemende.Njiani kwenda Zanzibar
Anza maombi haraka tena uombe na dada wa kazi usilale bila kuomba vunja nguvu za gizaWakuu kuna kitu cha kushangaza kimetokea sijakielewa.
Jana jioni wakata naandaa chai (Mimi napenda kunywa chai jioni) kuna kikombe kidogo kilizama ndani ya kikombe kingine kikubwa cha udongo. Kwa namna vilivyoshikana ilikuwa ngumu sana kuvitenganisha hata nilipojaribu kwa muda mrefu sana. Hatimaye nilikata tamaa nikajisemea nitajaribu kuvitenganisha asubuhi.
Sasa cha ajabu asubuhi naamka nafika sebuleni nakuta vikombe vimetenganishwa. Hapa nyumbani naishi na dada wa kazi, hivyo nikamuuliza kama ndiye akasema hapana. Na kwa vyovyote siyo yeye kwasababu wala hakuwa na taarifa ya hivyo vikombe kuungana coz ilikuwa ameshalala muda napika chai.
Kwa sasa nipo njiapanda wala sielewi hili tukio limetokea vipi? Je, ni nguvu gani iliyotumika kutenganisha hivi vikombe. Muujiza gani huu?
Naombeni msaada wenu kwasababu maswali ni mengi ila muda mchache.
Na hili suala la kukuta vimegeuka?Kitaalam joto ndilo lilivitenganisha hivyo vyombo.
Bila shaka kikombe kilichodumbukia ndani ya kingine ni chepesi alafu kilikuwa hakijaacha nafasi ya kupumulia/yaani kilijaza vizuri bila kuacha pancha yoyote.
Pia inaonekana ndani ya kikombe kikubwa kulikuwa na vitone vya maji.
Sasa baadae kutokana na joto, vile vitone vya maji vilitoneshwa na kuwa hewa yenye unyevunyevu ambapo hewa hiyo ilifanya kuwe na presure kati ya kikombe kikubwa na kidogo hali iliyopelekea kikombe cha ndani kurushwa na kutua pembeni ya kikombe kikubwa.
Ondoa hofu usitatanishwe na wanaowaza ushirikina kila mara.
Hiki kikombe kidogo ni cha plastiki vile vya kufunika thermos. Huwa nakitumia kuchotea unga wakati wa kusonga ugali. Kikombe kingine kikubwa ni cha udongo.Ilikuaje Kikombe kikazama ndani ya kikombe kingine?
Vilitenganishwa na kuwekwa pembeni kila kimoja peke yake au ilikuwaje! Ungeweka na picha ya hivyo vikombe ingependeza zaidi mkuu!?Wakuu kuna kitu cha kushangaza kimetokea sijakielewa.
Jana jioni wakata naandaa chai (Mimi napenda kunywa chai jioni) kuna kikombe kidogo kilizama ndani ya kikombe kingine kikubwa cha udongo. Kwa namna vilivyoshikana ilikuwa ngumu sana kuvitenganisha hata nilipojaribu kwa muda mrefu sana. Hatimaye nilikata tamaa nikajisemea nitajaribu kuvitenganisha asubuhi.
Sasa cha ajabu asubuhi naamka nafika sebuleni nakuta vikombe vimetenganishwa. Hapa nyumbani naishi na dada wa kazi, hivyo nikamuuliza kama ndiye akasema hapana. Na kwa vyovyote siyo yeye kwasababu wala hakuwa na taarifa ya hivyo vikombe kuungana coz ilikuwa ameshalala muda napika chai.
Kwa sasa nipo njiapanda wala sielewi hili tukio limetokea vipi? Je, ni nguvu gani iliyotumika kutenganisha hivi vikombe. Muujiza gani huu?
Naombeni msaada wenu kwasababu maswali ni mengi ila muda mchache.
Nje ya maada kidogoHiki kikombe kidogo ni cha plastiki vile vya kufunika thermos. Huwa nakitumia kuchotea unga wakati wa kusonga ugali. Kikombe kingine kikubwa ni cha udongo.