Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,581
- 7,232
neno hili!Ila kuna wadada wa kazi wengine wana mambo ya kishirikina sana ,endelea kufanya uchunguzi utagundua tu kama kuna nguvu za giza au la...
neno hili!Ila kuna wadada wa kazi wengine wana mambo ya kishirikina sana ,endelea kufanya uchunguzi utagundua tu kama kuna nguvu za giza au la...
Ndio imesababisha hivyo?..Kuna kitu inaitwa ....GRAVITATIONAL FORCE
ndiiíiiooooooooNdio imesababisha hivyo?..
mmh...
Najaribh
Najaribu kupiga picha lakini zinajifuta
Na hadithi yako ikaishia hapo. Well done hahahahhahahahahhahaaNajaribh
Najaribu kupiga picha lakini zinajifuta
[emoji28] jamaniUkilala na mume wa mtu mtashikana kama hivyo vikombe.
Mtapelekwa hospitali ya rufaa mtatenganishwa kwa upasuaji baada ya kula nusu kaputi.
Ndio watanasana.[emoji28] jamani
Hiyo ni Effect ya Pressure na vacuum (utupu bila hewa). Soma kuhusu Magedeburg Hemispheres. Ni ndogo saizi ya mpira wa watoto lakin farasi wawili walifungwa huku na huku wakashindwa kuzitenganisha. Zilikuwa zimeshikana kama ulivyosjhikamanisha hivyo vikombe vyakoWakuu kuna kitu cha kushangaza kimetokea sijakielewa.
Jana jioni wakata naandaa chai (Mimi napenda kunywa chai jioni) kuna kikombe kidogo kilizama ndani ya kikombe kingine kikubwa cha udongo. Kwa namna vilivyoshikana ilikuwa ngumu sana kuvitenganisha hata nilipojaribu kwa muda mrefu sana. Hatimaye nilikata tamaa nikajisemea nitajaribu kuvitenganisha asubuhi.
Sasa cha ajabu asubuhi naamka nafika sebuleni nakuta vikombe vimetenganishwa. Hapa nyumbani naishi na dada wa kazi, hivyo nikamuuliza kama ndiye akasema hapana. Na kwa vyovyote siyo yeye kwasababu wala hakuwa na taarifa ya hivyo vikombe kuungana coz ilikuwa ameshalala muda napika chai.
Kwa sasa nipo njiapanda wala sielewi hili tukio limetokea vipi? Je, ni nguvu gani iliyotumika kutenganisha hivi vikombe. Muujiza gani huu?
Naombeni msaada wenu kwasababu maswali ni mengi ila muda mchache.