Nyamiyaga
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 757
- 588
Kikulacho...!Kwani Yericko Nyerere alisharudi Chadema?!!
Kikulacho...!Kwani Yericko Nyerere alisharudi Chadema?!!
USIKUTE IMPUTS NYINGI ZA HICHO KITABU NI ZA MEMBE CHEZEA JASUSI MBOBEZ WEYE
we ungejitambua ungeiba mitihani ya kuhitimu shule?Wanaingizwa mkenge kwa mara nyingine. Haya majamaa hayajitambui ingawa huwaga yanajifanya yana akili nyingi.
ubarikiwe kwa majibu muruwa kwa zuzuma huyuFanya utafitu usibwabwa kama MPUMBAFU kafanye research uone Nchi zilizoomo kwenye OIC
Kuna nchi za ulaya zimo OIC ktk AFRICA YA MASHARIK Uganda imo OIC na inawaislam wachache kuliko Tangannyika
Na mpka leo mbn hsitawaliwi kiislam
BAADHI WAKATI UWEUNANYAMAZA KUFICHA UJINGA WAKO
Upande mwengine walisapoti jiwe coz anawabia ukweli wazungu kwa wazungu gani?? Na anatumia lugha gani
Kikubwa mm ninacho kiona ni kuitayarisha CHATO kuwa Mjim mkubwa wa kibiashara badala ya Dar
Uliniona naiba mitihani?we ungejitambua ungeiba mitihani ya kuhitimu shule?
niweke ushahid hapa?Uliniona naiba mitihani?
Weka, nakusubiri.niweke ushahid hapa?
i know uWeka, nakusubiri.
Likewise.i know u
Nimecheka sana daaah, you made my nightMembe ni Jasusi, na kitabu alichoshika kinahusu ujasusi.
we baamedi💃 kavae na wewe wakupende mabashazakoLosers comfort each other. Enzi za Mjeda Mbomq nazo ni zama za kale. Kama tshirt hata bar maid wanazo
SIYO VIBAYA KUWA NA NDOTO ZA MCHANA UKIWA NA UCHOVU
Ha ha hanaona mzee Yerico amepiga hatua kimaisha,kutoka kuwa mpiga Ripu hadi mwandishi wa vitabu vya kijasusi,bonge la hatua