Munni
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 329
- 434
Hahahaaa![]()
Ilo hapo
umenishinda tabia wewe itabini nikurudishe ccm
Hahahaaa![]()
Ilo hapo
Duh! Kweli umetisha![]()
Ilo hapo
Acha uvivu wewe,kuna umbali gani hapa,mtu nilitembea Mwanjelwa hadi Mbalizi na sijalalamika.Kuna siku nilikosa hata mia nikatembea kwa mguu Mwanjelwa mpk Iganzo![]()
Acha uvivu wewe,kuna umbali gani hapa,mtu nilitembea Mwanjelwa hadi Mbalizi na sijalalamika.
Nilikosa nauli ya kurudia,kuna mtu nilimfuata Mbalizi nikamkosa.Niliisoma namba.Kwangu ni tukio la kumbukumbu chief, we si utakua na vigimbi kabisa mzee? Dah na ulitembea kwa kupenda au ulikosa hela kama mm?
Tena rijaliwe n mwanamke kweli maana hyo kauli imeniacha hoi...
ambaye sitamsahahu nikimtaja milioni 7
sawa mkuuBasi ishia hapohapo tumeshamjua.
Pole sana ndgu..Mimi binafsi kwa mwaka huu 2016 sitosaau nilivyo-experience maisha magumu chuoni...daaaah nimeyumbishwa Sana haswa maswala ya mkopo...hadi nilikata na tamaa....aseee....nilitamani nikae juu angani niwaambie bodi ya mikopo jinsi ninavyolia ...daaah huu mwaka hapana kwakweli....ila ngoja nisikilize appeal yangu...nikinyimwa tena huu mwaka ujao hautokuwa tofauti na uliopita...