Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,924
- 6,010
Duuuh! Pole sana!Pole sana nadhani mimi sio mwalimu mzuri... Ni hivi unanunua umeme kwenye njia yoyote ile lakini automatically unaingia kwenye luku bila kwenda kubofya bofya ile mita. kama ukinunua king'amuzi chanel iznavyorudi automatic.