-Inatumia line (mtandao wowote),line kwa ajili ya kuwasiliana na system,kutuma na kupokea taarifa.
-Mpangaji atanunua umeme kama kawaida na kujaza mita kubwa ya tanesco,akisha jaza..system
zetu zitaditect na zitaijaza mita yake ndogo UNIT zile zile alizo nunua,kwenye mita kubwa,unit za
mita ndogo zikiisha umeme unakatika kwake tu.
-Ukikatika ananunua tena anajaza katika mita ya Tanesco.
-Zina mfumo wa kukopesha UNIT,kama mpangaji atakua na dharura,anaweza kukopa UNIT kwa
kuwasiliana na sisi,atakopeshwa....akija kuweka atakatwa kile kiasi Cha UNIT alicho kopa.
-Mita ni automatic,anajaza umeme mita kubwa tu ya Tanesco,hizi ndogo zinapokea taarifa
automatic.
-Bei ya mita complete ni 180,000/- per PC.
MAELEZO ZAIDI.
-JINSI YA KUNUNUA UMEME
Nunua umeme kawaida Kupitia namba ya mita ya Tanesco,kama unavyonunua siku zote,ukipokea
token Jaza katika mita ya tanesco.
Mfano umenunua UNIT 3,ukiingiza katika mita ya Tanesco,token zikakubali,mita yako ndogo pia
itasoma UNIT 3,zile to ulizo nunua.
Zikiisha hizo UNIT 3 katika mita yako ndogo Basi,umeme utakatika kwako tu,hata Kama mita kubwa
ya Tanesco inaumeme.
-ITAKUWAJE KAMA NI MIMI PEKE YANGU NIMEFUNGA MITA HIYO NA WAPANGAJI WENGINE
WANAENDELEA KUTUMIA MFUMO WA KAWAIDA.
Ukifunga mita hii,peke yako,mfano nyumba in wapangaji watatu,wewe peke yako ukafunga mita hii.
Wale wapangaji wengine Kuna uwezekano wakatumia UNIT zako,hivyo umeme unaweza Isha katika
mita kubwa kabla haujaisha mita yako ndogo.
Ikitokea hivyo,wewe hauhusiki na ununuaji wa umeme,sababu mita yako bado itakua na
umeme,wewe unanunua umeme pale tu mita yako ndogo inapoisha umeme.
Hivyo mita kubwa ikiisha umeme na wakati mita ndogo bado ina umeme,itawalazimu wale ambao
hawajafunga mita ndogo,wanunue umeme,wakiweka umeme mita kubwa,mita yako ndogo itasoma
kiasi kilichobaki baki na utaendelea kutumia Hadi uishe.Ukiisha katika mita ndogo wewe ndo
utanunua,wakwako tu ambao unaona utakutosha.Ukisha nunua unaenda ingiza mita kubwa token
zako.
-SOLUTION YA KUISHA UMEME MITA KUBWA WAKATI MITA NDOGO BADO INAIDADI YA UNITS.
Tatizo la kuisha umeme mita kubwa na mita ndogo bado ikiwa na UNITS zake litaisha pale tu
wapangaji wote watafungiwa mita hizi ndogo.
Kila mpangaji akifungiwa mita yake umeme mita kubwa utakua hauishi,sababu Kila mtu anachukua
kiasi chake Cha UNITS alicho weka katika mita kubwa bila kuzidisha,labda itokee mita zote ndogo
UNIT ziwe Zero,ndo mita kubwa nayo itaenda Zero UNIT.
-JE KIFAA HIKI KINA UHUSIANO NA TANESCO.
Hapana mita hizi,hazifungwi na Tanesco ni mita zinazo uzwa madukani,ni kifaa kinachosaidia
kuratibu na kusimamia matumizi yako binafsi,hakihusianina Tanesco,ni Kama vile unavyonunua
TV,au simu.
Ili uweze fungiwa mita hizi lazima uwe tayari umefungiwa umeme na Tanesco,ambapo mita hizi
zinachukua umeme kutokea katika Main switch (distribution board),kwenda chumbani kwako.
Na Kama ulinunu UNIT 3,na mita kubwa umeme ukaisha kabla umeme was mita ndogo haujaisha
-JE NAWEZA KUHAMA NAYO MITA NDOGO.
Ndiyo Kama mita hii umenunua wewe mpangaji,unaweza kuhamanayo,ila Kama ni mwenyewe
nyumba kanunua,lain yako tu ndiyo itakayo tolewa katika mita,na utakabidhiwa.
-JE NI VIPIMO GANI INATUMIA KATIKA KUKADILIA MATUMIZI YA UMEME.
Vipimo vya mita hizi ndogo ni sawa na vipimo vya mita kubwa za Tanesco kipimo chake ni 1kilowatt
hour=1Unit
Ambapo mita hizi zunahesabia pulse(kile kitaa chekundu kinachowaka katika mita) 1600 kwa Kila
kwh 1.
Kile kitaa chekundu,huwaka kulingana na matumizi yako ukiwa unatumia umeme mwingi kinawaka
haraka haraka,ukiwa unatumia umeme kidogo kinawaka taratibu.
Hivyo Kila kikiwaka mara 1600 ni sawa na umetumia UNIT
1.
-NI JINSI GANI NAWEZA KOPA UMEME.
Utakacho fanya ni kuwasiliana nasi,Sisi tutanunua umeme na tutakutumia Token za kiasi cha unit
unachotaka kukopa.
Token tulizo kutumia utaingiza katika mita ya Tanesco,baada ya kuingiza na ukakubali mita yako
ndogo itasoma hizo Unit ndani ya dakika 3.
Ukija kununua umeme baadae utakatwa kile kiasi Cha token ulichokopa,katika mita yako ndogo.
-GHARAMA ZA MITA HII.
Mita hizi zinauzwa 180,000/-,Bei hii haina mahusiano na matayarisho ya wiring kwa ajili ya kufunga.
Unatakiwa kuweka Oda kupata mita hii(sababu tunaagiza),na malipo ni baada ya kufungiwa.
Tupo Dar mtaa wa Lindi
Tucheki 0744233350