Tukiendelea kuwatumia wana CCM kwenye miradi watatukwamisha sana

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,323
8,236
Mimi naona tungeendelea kuwatumia ma professors wa vyuo vikuu hawana tamaa na pesa kabisa wanaridhika wangefanya kazi vizuri sana,

WanaCCM wenzetu wangeendelea kukaa tu bungeni huko hawawezi kutuibia.

Lakini kuendelea kuwatumia wana CCM wenzetu kutatukwamisha sana sana.

Yaani mimi nafikiria mbali kidogo, ni hivyo tu.

Wana CCM niwajanja sana wapo kwenye political game, kushindwa kwako wao ndio furaha yao, wao ndio fursa kwao, wao ndio shibe yao.

Sasa ni vizuri kucheza tu kama pele japo usipowapa vyeo watalalamika.

Sasa unafanyaje, ni kucheza kama Pele.

Wapinzani nao ni wanafiki na washauri wabaya.

Hivyo ni vyema ufuate ushauri wa akili yako tu.

Moja ya mbinu ya kuitumia ili uwe na serikali isiyoyumbishwa ni kuteua na kutumia watu walioridhika na maisha na watakao kusikiliza.

WanaCCM na wapinzani wengi hasa waliogombania ubunge na kushinda na waliopo kwenye siasa kwa muda mrefu sii wasikivu hasa pale unapowatuma wafanye jambo na walitekeleze kwa wakati. Wao siku zote hufikiria hatima yao ya kisiasa badala ya kufanya kazi.
 
MaCCM😁😁😁
1638006971_1638006971-picsay.jpg
 
Umesahau kama hao wapo was wajalalani sio, Sasa uwaitao wapinzani wamekuwa wakiwaibueni usingizini huku mkiwa ndotoni, kosa lao kwenu ni kuwaamsha kutoka usingizini ilhali Bado uvivu na uchovu wa usingizi mnao, dawa yao nini, kuwapa majina mabaya kama ulivyofanya🤔 .
 
Wapinzani hawatofautiani na ccm, tena huenda wakazingua zaidi wakipata ticket ya ikulu.
Ukitaka kuwafaham ni kwenye mijadala yao mitandaoni; hawapendi kukosolewa kabisa, wanajaa hasira haraka ukiwakosoa. Kwa tabia hiyo wanayoionyesha ni dhahiri Tz bado tuna safari ndefu ya miaka zaidi ya 100 kuja kustaarabika.
 
Umesahau kama hao wapo was wajalalani sio, Sasa uwaitao wapinzani wamekuwa wakiwaibueni usingizini huku mkiwa ndotoni, kosa lao kwenu ni kuwaamsha kutoka usingizini ilhali Bado uvivu na uchovu wa usingizi mnao, dawa yao nini, kuwapa majina mabaya kama ulivyofanya🤔 .
Sio kweli, moja ya mbinu ya kuwa na serikali isiyoyumbishwa ni kutumia watu walioridhika na maisha na watakao kusikiliza. WanaCCM wengi hasa waliogombania ubunge na kushinda na waliopo kwenye siasa kwa muda mrefu sii wasikivu hasa pale unapowatuma wafanye jambo na walitekeleze kwa wakati.
 
Wapinzani hawatofautiani na ccm, tena huenda wakazingua zaidi wakipata ticket ya ikulu.
Ukitaka kuwafaham ni kwenye mijadala yao mitandaoni; hawapendi kukosolewa kabisa, wanajaa hasira haraka ukiwakosoa. Kwa tabia hiyo wanayoionyesha ni dhahiri Tz bado tuna safari ndefu ya miaka zaidi ya 100 kuja kustaarabika.
Kwa hiyo ni bora majizi kuliko hao.
 
Hakuna msafi ndani ya CCM wote wameoza na wahenga walisema 'samaki mmoja akioza.........."

Uzuri ni kwamba wapinzani ndo walikuwa wanapewa lawama Leo wapo CCM kwa CCM kazi kwao na Mpaka 2025 tutaona mengi Sana ya kustajabisha
 
Vipi yaliyo jaamo kijani?
Kutokana na umasikini wa mataifa yetu ya Africa, watanzania kama walivyo waafrika wengine wana tamaa kubwa ya kujikwamua kutoka umasikini. Hilo si jambo rahisi kabisa.

Kumbuka mataifa ya Ulaya ,Marekani , China hata Urusi,, hayawezi kuruhusu kirahisi waafrika watajirike.

Tumejengekwa na tabia ya kumkejeli, waziri, DC, RC, OCD, MP, nk anapoonekana na maisha ya kawaida ambayo kimsingi yanaashiria umasikini tulio nao - tutasema hana akili, anaendekeza pombe na wanawake(ikiwa ni me) . Tunawasifia wale waliojilimbikizia mali nyingi tukisema ndio wenye akili. Hii inamfanya yeyote akipata nafasi anajisemea moyoni afe kipa afe beki ni lazima atoboe.- kisha ufisadi huzaliwa na kustawi.

Kwa kufupisha ni kwamba asilimia kubwa ya waafrika wenye ngozi nyeusi tayari ni currupt vichwani mwao(hii haijalishi chama).

Hivyo ningeomba wakati tunajadili haya tujikite kutafuta mwarobaini kuliko kurusha rusha vijembe,,, nimekuja kujifunza kuwa vijembe ndivyo huchochea sana ujinga kwani baadhi ya wasio na akili huelekeza nguvu kuvijibu badala ya kuweka bidii kwenye kufanya kazi kwa weledi.


( unakumbuka zile data za uongo??)
Sababu ilikuwa ni kujibu vijembe.
 
Wapinzani hawatofautiani na ccm, tena huenda wakazingua zaidi wakipata ticket ya ikulu.
Ukitaka kuwafaham ni kwenye mijadala yao mitandaoni; hawapendi kukosolewa kabisa, wanajaa hasira haraka ukiwakosoa. Kwa tabia hiyo wanayoionyesha ni dhahiri Tz bado tuna safari ndefu ya miaka zaidi ya 100 kuja kustaarabika.
Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi achana longolongo
 
Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi achana longolongo
Sifanyi longolongo. Najiuliza namna hiyo katiba tunaweza ipata. Walafi na mafisadi na watesaji bado wana nafasi kubwa kuiteka.
Hii nchi siyo rahisi hata kidogo.
 
Mimi naona tungeendelea kuwatumia ma professors wa vyuo vikuu hawana tamaa na pesa kabisa wanaridhika wangefanya kazi vizuri sana,

WanaCCM wenzetu wangeendelea kukaa tu bungeni huko hawawezi kutuibia.

Lakini kuendelea kuwatumia wana CCM wenzetu kutatukwamisha sana sana.

Yaani mimi nafikiria mbali kidogo, ni hivyo tu.

Wana CCM niwajanja sana wapo kwenye political game, kushindwa kwako wao ndio furaha yao, wao ndio fursa kwao, wao ndio shibe yao.

Sasa ni vizuri kucheza tu kama pele japo usipowapa vyeo watalalamika.

Sasa unafanyaje, ni kucheza kama Pele.

Wapinzani nao ni wanafiki na washauri wabaya.

Hivyo ni vyema ufuate ushauri wa akili yako tu.

Moja ya mbinu ya kuitumia ili uwe na serikali isiyoyumbishwa ni kuteua na kutumia watu walioridhika na maisha na watakao kusikiliza.

WanaCCM na wapinzani wengi hasa waliogombania ubunge na kushinda na waliopo kwenye siasa kwa muda mrefu sii wasikivu hasa pale unapowatuma wafanye jambo na walitekeleze kwa wakati. Wao siku zote hufikiria hatima yao ya kisiasa badala ya kufanya kazi.
Katiba mpya tume huru tatizo liko kwenye mabegi ya kura unategea nini mtu aibe kura kisha awe msikivu?
 
Back
Top Bottom