Je, ni Siasa mbaya, Maendeleo madogo, kukosa haki muhimu, ubinafsi, tofauti ya vipato. Pamoja na kujengewa barabara wanasiasa wanakimbia ukweli kwamba Watanzania hawanaraha na maisha yao. Hata Rwanda pamoja na Kagame kusema wanamaendeleo tatizo ni nini? Botswana nayo iko chini sana
Mimi kwa mawazo yangu ni mambo mawili tu makubwa kwa Tanzania (1) Tuna utamaduni wa kuangaliana sana. Tunajiita wazalendo lakini hatuna mapenzi ya maendeleo tuna sisi ni wale wa kuogopa mwenzio kuendelea. Wakati wa katiba za Kenya na Tanzania nakumbuka Wakenya wakasema Mkenya ni Mkenya hata awe wapi. Tanzania diaspora walipigwa vita kama vile ni majambazi wakati ni Watanzania wanaotafuta maisha yao. Sababu kubwa Watanzania hawapendi wengine wapate hata kama kupata kwako hakumzuii mwingine.
Hii inaonyesha watu hawana raha kwa mfano huu. Nakumbuka vilevile MD wa TPDC alivyopata kazi alipigwa majungu miaka mitatu kwasababu alitoka nje tu mpaka akarudishwa na Magu. (2) Sababu ya pili nchi yetu imekuwa nchi kama ya kijeshi. Watu hawako huru wanaosema tuko huru ni walewale wanaonufaika. Unyanyasaji umeongezeka sana kuanzia kubambikwa kesi, kupigwa, uhuru kwa vyama wananchi wanakatishwa tamaa sana na vitendo vya unyayasaji
Pamoja na bongo flava yetu ni aibu sana kuwa chini hivio
1. Afghanistan
2. South Sudan
3. Zimbabwe
4. Rwanda
5. Central African Republic
6. Tanzania
Mimi kwa mawazo yangu ni mambo mawili tu makubwa kwa Tanzania (1) Tuna utamaduni wa kuangaliana sana. Tunajiita wazalendo lakini hatuna mapenzi ya maendeleo tuna sisi ni wale wa kuogopa mwenzio kuendelea. Wakati wa katiba za Kenya na Tanzania nakumbuka Wakenya wakasema Mkenya ni Mkenya hata awe wapi. Tanzania diaspora walipigwa vita kama vile ni majambazi wakati ni Watanzania wanaotafuta maisha yao. Sababu kubwa Watanzania hawapendi wengine wapate hata kama kupata kwako hakumzuii mwingine.
Hii inaonyesha watu hawana raha kwa mfano huu. Nakumbuka vilevile MD wa TPDC alivyopata kazi alipigwa majungu miaka mitatu kwasababu alitoka nje tu mpaka akarudishwa na Magu. (2) Sababu ya pili nchi yetu imekuwa nchi kama ya kijeshi. Watu hawako huru wanaosema tuko huru ni walewale wanaonufaika. Unyanyasaji umeongezeka sana kuanzia kubambikwa kesi, kupigwa, uhuru kwa vyama wananchi wanakatishwa tamaa sana na vitendo vya unyayasaji
Pamoja na bongo flava yetu ni aibu sana kuwa chini hivio
1. Afghanistan
2. South Sudan
3. Zimbabwe
4. Rwanda
5. Central African Republic
6. Tanzania