Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,546
- 2,989
Kufatia kuvurugika kwa maadili inaonekana kuna tatizo katika upande wa kiimani na kwa haraka naweza kufikiiria kuyumba kwa uchumi misikitini, kanisani na madrasa ambapo inawalazimu walimu, masheikh na wahubiri kufanya kazi kwa kiasi kikubwa ili kujiihudumia.
Ukweli ni kwamba Ukitoa sadaka hupotezi ila unajivika vazi la imani kwa kupata rehema za mungu kwa kuwa unapowawezesha walimu neno la mungu litawafika wengi na hata dunia kuongoka vile vile nyumba za ibada zitakuwa kwenye hali nzuri kwa matokeo ya michango yenu ya sadaka.
Nawasilisha
Ukweli ni kwamba Ukitoa sadaka hupotezi ila unajivika vazi la imani kwa kupata rehema za mungu kwa kuwa unapowawezesha walimu neno la mungu litawafika wengi na hata dunia kuongoka vile vile nyumba za ibada zitakuwa kwenye hali nzuri kwa matokeo ya michango yenu ya sadaka.
Nawasilisha