Tujipime leo Jf, tunaupendo wa kweli?

Tujipime leo Jf, tunaupendo wa kweli?

niliona hakuna ulazima wa kumalizia asante natumai una afya njema

Thanks.. Mimi mzima.. By the way, usinifikirie vibaya ila naamini kabisa hakuna upendo wa kweli zaidi wa ule kati ya 'Mama na Mtoto' full stop. Hapa sijamweka hata baba ingawa mimi ni mwanaume.

Upendo mwingine upo kwa ajili ya maisha yetu.. Yoote uliyosema ni sahihi..lakini hata upendo kati ya mume na mke hauna hadhi ya kuitwa 'True' hata kama watasign kwa kutumia damu .. kwani iko siku watabadilika..lakini upendo kati ya mama na mtoto ni 'immortal' yaani ni wa milele..usione mama yako amekuchukia utadhani hata moyo wake umechukia..la hasha..lakini mume au mke akikuchukia ni balaa..

sasa utaelewa nilimaanisha nini post yangu ya kwanza..
 
Kuna makosa ya makusud na bahat mbaya. Kama ni makysudi lazima alipie
 
Thanks.. Mimi mzima.. By the way, usinifikirie vibaya ila naamini kabisa hakuna upendo wa kweli zaidi wa ule kati ya 'Mama na Mtoto' full stop. Hapa sijamweka hata baba ingawa mimi ni mwanaume.

Upendo mwingine upo kwa ajili ya maisha yetu.. Yoote uliyosema ni sahihi..lakini hata upendo kati ya mume na mke hauna hadhi ya kuitwa 'True' hata kama watasign kwa kutumia damu .. kwani iko siku watabadilika..lakini upendo kati ya mama na mtoto ni 'immortal' yaani ni wa milele..usione mama yako amekuchukia utadhani hata moyo wake umechukia..la hasha..lakini mume au mke akikuchukia ni balaa..

sasa utaelewa nilimaanisha nini post yangu ya kwanza..


kawaida tu mkuu, me wala cjapata kuwa hayo amani ya kristo iwe nawe mwaka wote huu
 
ayayayayayaaaaa washaanza wizi wao tena!! yaani wanaiba hadi voucher ya laki tu? ngoja niwapigie kastamakea my Dear


mwenye upendo hadanganyi, mwenye upendo hajivuni mkuu
hapo umetisha
 
Mh upendo wa kweli??? Zamani kabla ya zamani za kale, naweza kuwa nakosea.
 
ayayayayaaaa mwenye upendo ni kama mimi Mpwa hahahahahaaaaaa, hii thread balaaa aiseeee


mkuu huu mwaka wote utaisha ukuwa unacheka hivyo hivyo maana naona umeuanza vyema
 
Tatizo ni kwamba hatuna uwezo wa kuona ndani ya moyo wa mtu,vinginevyo tungeweza kujua nani ana upendo kiasi gani.
 
nimependa ulivyoandika!nina upendo wa ukweli sina haja hata ya kujipima lakini sijampata wa kumkabidhi upendo wangu kwasababu wote waongo tu kwangu!
 
Hivi upendo ni theory ama practical thing?

Tangible ama intangible?

.... Kwanini uinvolve vitu vingine tofauti kabisa ya wawili waliopendana?

Why money in love?

Hii catalyst ililetwa na nani hasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom